Bahati Kubwa! Ugunduzi wa Madini ya Dhahabu na Copper Yenye Thamani Kubwa: Mgunduzi ni Mining geology IT

Bahati Kubwa! Ugunduzi wa Madini ya Dhahabu na Copper Yenye Thamani Kubwa: Mgunduzi ni Mining geology IT

Wamehamia huku hawa jamaa. Kama kuna mzigo mzito kama huo unawezaje kumwambia hata nkeo. Leo unakuja humu eti kwa atakayehitaji akutafute!! Mleta mada na Dr shika Woooote mantanyange ( alisema jk nyerere)
Nakubari changamoto unazosema ,kama nilianza na kuambiwa hayo maneno basi na matokeo ujapendezwa nayo
 
"Asili ya Dhahabu: Ugunduzi Mpya katika Ardhi ya Tanzania!
Kupitia juhudi za kisayansi na utaalamu wa jiolojia, nimeweza kufanya ugunduzi wa eneo lenye thamani kubwa ya madini ya dhahabu na copper katika ardhi ya Tanzania. Eneo hili lenye hekta 20 limegunduliwa kuwa na kiwango kikubwa cha dhahabu, likiashiria fursa kubwa ya uchimbaji na maendeleo ya kiuchumi katika nchi yetu. Juhudi zangu zimefanyika kwa kuzingatia uchambuzi wa jiolojia na ukusanyaji wa sampuli, na natumai kuwa ugunduzi huu utakuwa baraka kwa jamii yetu na neema kwa siku zijazo."

Hii ni moja ya jiwe dogo kwenye sample kabla ya kusaga lilokwenda mahabara na kutoa majibu

View attachment 2988712

RIport ya vipimo toka kwenye sample ya picha hapo juu kwenye jiwe ilo
View attachment 2988714

Kama wadau au wakezaji wataitaji kujua zaidi nitazidi kueleza maana naanda ripoti kamili.

Asanteni
Shida ni kuwa mwananchi wa kawaida atakwenda kufaidika nayo vipi hayo madini,hata hivyo hakuna cha kushangaza hapo tulishaambiwa kuwa hii nchi ni tajiri sana...
 
Shida ni kuwa mwananchi wa kawaida atakwenda kufaidika nayo vipi hayo madini,hata hivyo hakuna cha kushangaza hapo tulishaambiwa kuwa hii nchi ni tajiri sana...
Kweli unalosema.Nchi yetu kuna vitu vinasabisha
1.Ujanja
2.Ubinafsi
3.Dharau

Tukiondoa haya nchi itafika mbali sana kimaendeleo.
 
Piga kazi mkuu na mafanikio yako ndio neema kwa wengine
Huu uzi ukae hapa kwa muendelezo na siku ukifanikiwa ila mtaji hauruhusu tafuta wenye hela kiasi hata 20 to 50m utawapata tu wapo wenye hela humu wengi tu ila ni uaminifu tu
 
Mkuu nina maswali machache kwako kidogo
1. Hizo gold 0.07 na 0.1 ndio thamani kubwa za ugunduzi wako?

2. Umegundua hayo madini kwa maana ya ore body au loose samples ulizopeleka maabara?
 
Piga kazi mkuu na mafanikio yako ndio neema kwa wengine
Huu uzi ukae hapa kwa muendelezo na siku ukifanikiwa ila mtaji hauruhusu tafuta wenye hela kiasi hata 20 to 50m utawapata tu wapo wenye hela humu wengi tu ila ni uaminifu tu
Asante. Naelewa changamoto na kasheshe kama ukagundua kuna upatikanaji wa dhahbu na nguvu itakayotumika ukose ulichokifanya.
nitawapa ripoti yangu ili kuonesha uwezo wangu wa ninacho kifanya
 
Mkuu nina maswali machache kwako kidogo
1. Hizo gold 0.07 na 0.1 ndio thamani kubwa za ugunduzi wako?

2. Umegundua hayo madini kwa maana ya ore body au loose samples ulizopeleka maabara?
1. Nilipo eleza kuhusu hiyo sampuli ni ndogo ambayo nimeita P1(point 1),sababu iliyonifanya kupeleka madini ni kuepusha eneo na wachimbaji wa ovyo na kukosa bajeti.
2.ore body hipo kubwa tena imefikia kujitokeza kutokana na mabadiliko ya tabia nchi kama mvua na kukosa vyanzo vya kulinda miti.

Ugunduzi umekamilika na nina mifuko ambayo teyari ili kutoa ripoti kamili iliyokusanywa sehemu tofauti kwenye eneo ilo.
Hiyo ni sample kama mwangaza.Kujua njia

Naweka wazi kama utapenda kujenga mawazo na kipi kifanyike ili wana JF
+255754933110
MINING GEOLOGY IT
 
Asante kwa kuniuliza. Ndio maana mwishoni nikasema ripoti kamili nitaleta.Bado changamoto za kuchukua sampuli kubwa ili kujua uwezo wa eneo.
ila mpaka sasa eneo ilo lijawa na rekodi wala historia kuwa na uchimbaji wala tafiti
Sasa mdogo wangu kweli unapeleka sample ya jiwe moja unaona Kuna gold 0.07 unaanzisha uzi kwamba umegundua eneo lenye madini ya thamani kubwa!

Kwanini mnatumia vitaaluma vyenu kuhadaa watu? Ni kwa faida ya nini au ya Nani?

Kumaliza geology course udom haimaanishi umeshakuwa mgunduzi we jamaa. Unaelewa maana ya ugunduzi? Tena wa eneo? Sasa unakiri kuwa na changamoto ya kukusanya sample na kupeleka maabara alafu unajiita mgunduzi?

Umewahi kusikia maana ya mining exploration? Unajua bajeti zake we jamaa?

Acha kujiweka usipostahili kwa sababu tu watu hawaelewi unachoandika
 
Ushirikina umeshika nafasi kubwa tena upande wa madini wakiamini ndio unaweza kupata madini
Kabla ya kuanza kuchimba wanakuambia lazima waende kwanza kwa mtaalamu awachorew ramani.

Sasa mwingine akisikia "mtaalamu", anaweza akafikiri ni mtaalamu wa miamba kumbe ninmganganwa kienyeji.

Wengi wao huishia kutelekeza maduara yao pamoja na kuwa walipewa ramani na "wataalam" wao.
 
Tanzania hata wakigundua mahali anapoishi Mungu bado watasema wao hawana nafasi ya kufika mbinguni alipo Mungu watawakabidhi wachina waende mbinguni na wao watachagua kwenda motoni.

Kwani ni vingapi tumegundua na bado havijatusaidia?,kilio bado ni kilekile.
 
Ningekuwa ni wewe ningefanya hivi: ningenunua eneo hili kwa gharama yoyote kabla ya kutangaza. Baadaye nakuja kutangaza baada ya eneo lote kuwa mali yangu nikiwa na hati ya eneo mkononi 🤣
 
Sasa mdogo wangu kweli unapeleka sample ya jiwe moja unaona Kuna gold 0.07 unaanzisha uzi kwamba umegundua eneo lenye madini ya thamani kubwa!

Kwanini mnatumia vitaaluma vyenu kuhadaa watu? Ni kwa faida ya nini au ya Nani?

Kumaliza geology course udom haimaanishi umeshakuwa mgunduzi we jamaa. Unaelewa maana ya ugunduzi? Tena wa eneo? Sasa unakiri kuwa na changamoto ya kukusanya sample na kupeleka maabara alafu unajiita mgunduzi?

Umewahi kusikia maana ya mining exploration? Unajua bajeti zake we jamaa?

Acha kujiweka usipostahili kwa sababu tu watu hawaelewi unachoandika
Ujaweza kunielewa umetumia kunikosoa

Kitu cha kwanza watu wengi sijui hata kwenye elimu wanakosea sana na ndio maana tuna watu wenye kukosa mwangaza wanacho kifanya.
Step 1
Nilipo chambua eneo na kujua geology zake nililifanyia RiDAr Kisha nikaenda kusibitisha jeografia yake ilivyo na rekodi za miamba.

Step 2
Nilianza kuzunguka kujua tabia ya eneo lile kuhusu kwa nini A-Z

Step 3
Nilipochanganua nikakusanya sampuli ambazo nimekuta ndio zina muelekeo mkubwa ambayo hiyo picha ili kuchuguza na mpaka sasa nina kilo 70.

Step 4
Nilijaribu kuangalia kitaalamu nikaona uwepo wa madini nikachukua sampuli moja ambayo nimeweka hapo ilikwenda kujua kuliko kubeba mafurushi mwanzoni yakawa bure.

Step 5
Nilipeleka mahabara nikaweka jina P1 ambayo ikionesha kuwa tafiti zangu ni kweli basi ni kurudi kupeleka kiasi kikubwa sasa ambacho upate taarifa kamili.

SHIDA INAKUJA KWA NAYOPITIA WATANZANIA WANAPENDA MATOKEO ILA CHANGAMOTO NI ZAKO PALE UNAPOJARIBU KUANZA.
 
Back
Top Bottom