Bajeti 2020/21 Watumishi wa Umma mwaka wa 5 hakuna nyongeza ya mishahara wala punguzo la kodi

Inafikia hatua mtu unachoka na haya malalamiko mitandaoni. Mnashindwa nini kuwaiga USA?
Wewe umewaiga ?

Umewaigia wapi ?

Uwepo hapa hapa bongo ndo uwaige tujue kweli wewe umewaiga [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu unaelewa lakini maana ya kufanya kazi za ziada na mkataba wako wa ajira?

Sasa iko hivi Kuna masaa ambayo inabidi ufanye kazi kwa mwajiri wako (hapa nazungumzia serikali ) baada ya masaa hayo ya kazi yako uliyoajiriwa na serikali kuisha unaruhusiwa kwenda kufanya kazi sehumu nyingine au Kama una kibiashara chako nenda kafanye.

Sasa tatizo kwa hao unaosema wanafanya part time huko rucu ni kwamba walikua wakiiba muda wa mwajiri wao wa permanent (gorvenment ) hapo ndipo kosa lao linapo patikana.

hata Kama wanafanya kazi masaa kadhaa tu then wanaenda kwenye kazi zingine bila kumaliza masaa ya siku (masaa 9:30 Hadi 12:00 kulingana na nature ya kazi ) Bado wanakua wameiba muda
 
Yes........sisi tunataka kila mwaka iongezwe 100,000 wakati mtaani nako vitu vinapanda kwa wastan wa 100000 tena.....faida iko wapi?
 
Hilo punguzo la kodi kwa wafanyakazi, toka mshahara wa shilingi 170,000 hadi 270,00 hujalisikia?
Hongera. Mnaolipwa laki 2 mmenufaika sana. Mazombie hata yakijambiwa yanaomba yaharishiwe....

Hiyo punguzo nadhani itapunguza usumbufu kwa shemeji yako. Maana kumhudumia mke na mdogo wake sio jambo dogo
 
Mtu hataishi kwa mkate tuu, hivyo pamoja na kutoongezwa mishahara, lakini msiwe na hasira bali hapo tarehe 25 October,
unachukua...,
unaweka ...
Waaah...
P
Blaza... ushaambiwa AtakeAsitake....

Sentensi pana sana hiyo...

Twenzetu Bujumbura msibani...
 
Na wanaweka vifungu vya kikatiba vya kuwalinda wasishitakiwe hata kama wameikanyaga hiyo Katiba,pathetic
 
Natumai una akili nzuri tu,Ila hautaki kuzitumia...
Mfumuko wa bei ulishashindikana kuudhibiti,tazama sukari,ilitoka 1800/kg kwa sasa inaogelea 3000-3500

Mafuta ya kula yamepanda pia,mazao ya chakula tumeambiwa tuuziwe kwa bei ya juu sanaaa!

Kubwa kuliko yote,ni kwamba kwa kuacha mishahara ya watumishi kwenye mkwamo namna hii ina maana hata mafao ya kustaafu yanaathirika,hawa watumishi watakuja kujikuta wanachukua pesa kiduchu sana kwa sababu ya mkwamo wa nyongeza za mishahara!

Wakati huo huo,jaribio la kipuuzi la "kumtunzia" mfanyakazi pesa zake baada ya kustaafu ni kikwazo kingine kilicho hapo mbele!

Yaani mtumishi wa umma anafanya kazi kwa miaka 30+ anapaswa kupata milioni 100,then anapewa 25 kwanza,(wakati huo huo hicho kiasi kipo "stagnant" kutokana na kutopandishiwa mishahara yao!

Kwa hali hii,watumishi wa umma wanaendelea kuandaliwa kuwa masikini watakaoshindwa kumudu maisha yao wakati ambao hata nguvu za kutafuta hawatakuwa nazo!
 
TEETH na PEACE THIBI wanaongezewa Mishahara kila Mwaka , Watumishi wengine MABUMUNDA wataendelea Kupiga Miayo!!
 
Buku 7 kwa siku ndiyo kazi mbadala inayokufanya usitake nyongeza ya mshahara?
 
Umeshukaje? Sukari tunanunua 3300, maharage 2400, sembe elfu moja na pointi....unasema Nini?
Mishahara ya nini kama mfumuko wa bei imeshuka na umekua stable? Nyongeza ya mshahara ina faida gani kwenye mazingira ya mfumuko wa bei?
 
Watumishi mnalialia sana kama mishahara haiwatoshi acheni kazi mfanye issues zingine . Kutwa kucha kulialia mishahara lakini bado mpo tu kazin
 
Kwa akili yako ni punguzo la kodi ipi?
Sasa ni matako yako hayo? Yaani nyie ndio mnatufanya wapinzani tuonekane manyumbu! Maanake mtu aliyekuwa anapata 2.24m hatakatwa kodi, kodi inaanza kwa mtu anayepata 3.24m kwa mwaka.

Sasa mimi kwa mshahara wangu nimepiga hesabu nikakuta kuna punguzo la elfu 50 kwa mwezi, utasemaje hakuna punguzo hapo? Mnyonge mnyongeni......! Sema Magu amezingua kutowaongezea mshahara tu hao watu wake, ila yote hiyo ni kiburi cha huyo mzee!
 
Mtu hataishi kwa mkate tuu, hivyo pamoja na kutoongezwa mishahara, lakini msiwe na hasira bali hapo tarehe 25 October,
unachukua...,
unaweka ...
Waaah...
P
Tangu unyimwe ulaji na Serikali umekuwa na stress sana... Umekuwa na maisha magumu na kiofisi chako Cha chumba kimoja hapo kwenye la Africasana Kama mama ntilie.


Kama ulishindwa kuendelea kipindi Kile unapata matender ya milion 100+ usidhan utazipata Tena Sasa hivi kwa kujipendekeza.
 
kweli
 
Kumbe mfumuko wa bei huwa unasababishwa na nyongeza ya mishahara ?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ni nini haswa!!
 
October 25 ndiyo jibu, kama wafanyakazi waendelee kukosa nyongeza ya mshahara kwa miaka mingine 5, kama watumishi wa umma waendelee kutukanwa kwenye majukwaa!
 
Huo ndio ukweli kabisa, hii awamu wanachomuandalia mtumishi ni hahaha magumu tu hakuna kingine na iko wazi, kusimama kwa nyongeza mshahara madhara yake watayaona wakati as kustafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…