Nyumba moja inaweza kua na submitters hata 10 nazote zinasoma jina mojaKwa hiyo mpangaji ni Dalali.
Regulation za rent zitajiset automatically accordingly to economy....
Luku moja ni nyumba moja by approximate.
EXELLENT IDEA...!
Hayo yooote ya kazi gani ?Mtakuwa mnakatana wakati wa kulipa kodi ya nyumba,ni rahisi sana yaani rahisi sana, kodi kwa mwezi 40,000 kwa miezi 6 = 240,000 toa kodi ya nyumba ya kipindi hicho 5000 unampa zake 235,000 mnaachana kiroho safi mnakwama wapi ndugu zangu?
Kaka hamna jinsi,lazima tu tugawane majukumu madogo kwa makubwa imewashinda kuikusanya wanataka njia fupi kisha waache tuumane wenyewe!Hayo yooote ya kazi gani ?
AiseeeeKaka hamna jinsi,lazima tu tugawane majukumu madogo kwa makubwa imewashinda kuikusanya wanataka njia fupi kisha waache tuumane wenyewe!
Ndio uwezo wa MWIGULU ni wakufikilikaKitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.
Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?
Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .
Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Nadhani Mwigulu anaamini kila Mtanzania anaishi kwenye nyumba yake kutokana na porojo za uchumi wa kati
Wameshindwa kubuni vyanzo vipya waondoke kwani lazima waongoze wao?Mbona kodi yenyewe ni ndogo sana...Buku tu kwa mwezi or elfu 12 kwa mwaka hii nayo tutoe mishipa kuijadili humu?
Km nyumba ina wapangaji wa 5 hio ni 200 kwa mpangaji, hii kweli nalo la kujadili kweli...mpangaji analipa kodi ya 50k-150k anashindwaje kuchangia 200 km kodi ya Jengo.
Kuna watu tunakatwa 30% PAYE na kuna watu wanakatwa 8% na kuna watu hawakatwi kabisa, hili ndo tuliongelee ila sio issue ndogo ndogo km hizi unless tumekosa kazi za kufanya.
Na km tuna taka ku protest kuhusu hii kodi then tuanze na ushuru wa magari ulioingizwa kwenye mafuta unaowafanya ht wasio na magari waulipie, mtu unanunua petrol ya jenereta unalipia na ushuru wa magari.
Watanzania tupende kulipa kodi...kuna mchangiaji hapo juu kazungumzia kushuka kwa gharama za kuunganishiwa umeme kutoka 300k mpaka 27k, haya ni mapato yamepungua ila hamlalamiki, ila buku tu kwa mwezi tunatoka mapovu...tunataka maendeleo ila hatutaki kuyachangia, then serikali ikikopa kufidia nakisi napo tunalalamika deni la taifa...kila kitu kwetu ni lawama, hatuna jema.
Hapo hawajabuni chazo kipya, kodi ni ile ile kilichobadilika ni namna ya ukusanyaji...sasa wewe unaepinga tupe alternatives, ni nyia ipi rahisi ya kukusanya kodi ya jenho in an efficiency and effective way...Wameshindwa kubuni vyanzo vipya waondoke kwani lazima waongoze wao?
Kuna tofauti kati ya kukata kodi juu kwa juu na kukukusanyaHapo hawajabuni chazo kipya, kodi ni ile ile kilichobadilika ni namna ya ukusanyaji...sasa wewe unaepinga tupe alternatives, ni nyia ipi rahisi ya kukusanya kodi ya jenho in an efficiency and effective way...
Toa altenatives acha kulalamika..Kuna tofauti kati ya kukata kodi jukwaju na kukusanya
Kwakifu hawa watu sina imani nao
Wewe unapendekeza vipi!? Toa na solutions sio kukosoa tuKitendo cha Waziri wa Fedha kupendekeza kodi ya majengo ikatwe kwenye manunuzi ya umeme kinapaswa kufafanuliwa vizuri ili wananchi waelewe vizuri.
Hii ni kwa sababu nyumba nyingi zina wapangaji na ambao ndio walipaji wa bili ya umeme kwa vile wao ndio wanaoutumia, ziko nyumba ambazo wenye nyumba hawamo kabisa, wanaokaa humo ni wapangaji tu, wanawezaje kulipishwa kodi ya jengo kupitia ununuzi wa umeme huku wakiwa si wenye nyumba?
Hata kama hela hiyo itakatwa kidogo kwa mtindo wa kudunduliza, lakini haipaswi kulipwa na wapangaji .
Hili lifafanuliwe au lifutwe tuweke utaratibu mwingine utakaowalipisha kodi ya majengo wahusika tu.
Irudishwe halmashauri kama zamaniWewe unapendekeza vipi!? Toa na solutions sio kukosoa tu
Una akili sana wewe, meko na task force ni ushetani na kukosekana ubunifu, kodi ilihitajika lakini siyo unyang'anyi... siku zote mlipa kodi ni mlaji wa mwisho! Mwenye nyumba mzigo wa kodi mwisho wa siku ataushusha kwa wapangaji tu! Kwangu, hili la kulipia kodi ya pango kupitia Luku angalau lina ubunifu badala ya kuweka "task force" zikimbizane na wenye nyumba vichochoroni angalau automatically watu watalipa kodi za majengo.
Kwamba imepitishwa sidhani , maana ni lazima ijadiliwe bungeni