Majamaa mnasahau haraka nyie, anayezuiaga mahindi yasiende nje si nyie au? Mngesema kwenye ilani yenu mtu akipata soko nje asizuiwe ingekuwa poa.Huko tutafika...
Ila vigezo na masharti kufuatwa....
Maelekezo ni kwa wakulima WADOGO....gunia 500 ni tani 50...mkulima mdogo huyo?!!!
Utaratibu si kununua kwa WAFANYABIASHARA NA WAKAA KATI....
Fuatilia ujiridhishe mkuu wangu....
Tani 50 serikali inashindwa kununua kweli, sasa wawekezaji mnaowaita kuja kuwekeza kwenye kilimo, nao watavuna gunia tatu tatu au?Gunia 500 ni tani 50....ni tofauti na maelezo waliotoa NFRA...nimemkumbusha afuatilie vyema......
Mkuu wangu zilitolewa bilioni 50 kwa NFRA kununua mahindi kwa wakulima wadogo.....tatizo lililojitokeza ni kuwa WAFANYABIASHARA NA WAKAA KATI wakaingilia Kati na kuleta makumi ya tani za mahindi...lifikirie na hili...pia lingewaumiza hao walengwa.....Tani 50 serikali inashindwa kununua kweli, sasa wawekezaji mnaowaita kuja kuwekeza kwenye kilimo, nao watavuna gunia tatu tatu au?
Mkuu kilicholengwa na serikali ni kumpa nafuu mkulima mdogo....kwani nchi hii ina wakulima wengi (mmojamoja) wanaozalisha maelfu ya tani ?!!Majamaa mnasahau haraka nyie, anayezuiaga mahindi yasiende nje si nyie au? Mngesema kwenye ilani yenu mtu akipata soko nje asizuiwe ingekuwa poa.
πππ Jamaa hawaelewi that's whyUnadhani lengo la serikali hivi karibuni kuzitoa bilioni 50 kununuliwe mahindi kutoka kwa wakulima wadogo katika mikoa 7 hawakulenga UNAFUU wa kilimo?!!!
πππMkuu wangu zilitolewa bilioni 50 kwa NFRA kununua mahindi kwa wakulima wadogo.....tatizo lililojitokeza ni kuwa WAFANYABIASHARA NA WAKAA KATI wakaingilia Kati na kuleta makumi ya tani za mahindi...lifikirie na hili...pia lingewaumiza hao walengwa.....
All and all serikali imesikia kilio na MALALAMIKO ya WANAOSTAHILI....
πππ Uzalendo wako ni wa kiwango cha juu sanaMkuu kilicholengwa na serikali ni kumpa nafuu mkulima mdogo....kwani nchi hii ina wakulima wengi (mmojamoja) wanaozalisha maelfu ya tani ?!!
Tuwe wakweli kaka....
Changamoto sana na inauma kuona mgonjwa kabebwa hivi. Very sad and shame to the GovenmentItakuwa bado unaishi kwa wazazi wako/kula kulala, Shule hazina madarasa na vyoo,Vitui vya Afya na zahanati hakuma vitanfa Wala dawa,tunamiaka 60 toka tumepata uhuru,hii miaka 7 ndiyo tumalize matatizo yote?
View attachment 1965647
View attachment 1965648
Mkuu haujasikia mwaka huu mvua ni kidogo?Majamaa mnasahau haraka nyie, anayezuiaga mahindi yasiende nje si nyie au? Mngesema kwenye ilani yenu mtu akipata soko nje asizuiwe ingekuwa poa.
Tupe takwimu za mtangulizi wake wakati anachukua nchi hali ya upatikanaji wa maji ilikuwaje na Hadi mauti inamkuta hali ya upatikanaji wa maji ikoje. Kama Samia ataweza kufanya mara tatu ya mtangulizi wake nadhani by the end of FY 2021/2022 tutegemee upatikanaji wa maji kwa 100% vinginevyo ni stori tu za kwadanganya watuIfikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.
Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,
Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,
Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,
#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1965592
Yashukuriwe madarasa ya ITIKADI niliyopitia chamani π€£π€£πππ Uzalendo wako ni wa kiwango cha juu sana
Hii picha wametengeza chadema,Changamoto sana na inauma kuona mgonjwa kabebwa hivi. Very sad and shame to the Govenment
π€£Hawataki tu kuelewa ha ha haπππ Jamaa hawaelewi that's why
Yashukuriwe madarasa ya ITIKADI niliyopitia chamani π€£π€£
CCM ni IMANI....
CCM ni UTII.....
CCM ni kuielewa vyema historia ya kweli ya taifa letu......
Shukran mkuuπ
SIEMPRE JMTπͺ
ADUMU CHIFU MKUU HANGAYA ,amenπ
No mkuu zamani hata mimi nilikuwa naamini lakini kunamaeneo ukienda,hujazoea unatamani kurudi mda huo.Hii picha wametengeza chadema,
Isikupe shida, nia yao ni kupata huruma kama ilivyo kwako,
Haturudi nyuma....Tuendelee kuipigania CCM na mama ,
πππ
πTuendelee kuipigania CCM na mama ,
πππ
Nadhani ungesoma vizuri kilichoandikwa,Tupe takwimu za mtangulizi wake wakati anachukua nchi hali ya upatikanaji wa maji ilikuwaje na Hadi mauti inamkuta hali ya upatikanaji wa maji ikoje. Kama Samia ataweza kufanya mara tatu ya mtangulizi wake nadhani by the end of FY 2021/2022 tutegemee upatikanaji wa maji kwa 100% vinginevyo ni stori tu za kwadanganya watu
Kada nimependa sana Royalty yako kwa Taifa, πππHaturudi nyuma....
Haturudi nyuma....
NI WAJIBU WETU MKUU kiongozi wangu......
KAZI INAENDELEA KWA KASI YA KUTISHAπ€π’π―