Mshiko mnao, si muweke ruzuku ili tupate unafuu tulime tena, maana mwakani wote tunakuja mjini tupangwe vizuri tufanye umachinga.Sababu za mbolea kupanda bei mbona zinajulikana.....
UVIKO 19 umeathiri viwanda vya nje kutoizalisha kwa WINGI....hujalisikia hilo ?!!!