Bajeti ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21

Bajeti ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21

Zidumu milele ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿค›๐Ÿฟ๐Ÿค›๐Ÿฟ

Anajenga SGR- YEYE
Bwawa la Umeme SG- YEYE
MSALATO AIRPORT - YEYE
UNUNUZI WA NDEGE -YEYE
BASI ZA UDART 70 -YEYE
MKOA CHATO-YEYE
MADARASA ELFU 15- YEYE
VITUO VYA AFYA 220-YEYE
LAMI KILA KONA -YEYE
MIKOPO KILA MWANAFUNZI -YEYE
MISHAHARA JUU-YEYE
AJIRA ELFU 40-YEYE

ENDELEA ............
Saaalaaleee UNANISIMUA MWILI kwa matumaini makubwa mkuu wangu.....๐Ÿ˜View attachment 1965801
 
Mbolea imepanda kutoka Tsh 60,000/ kwa kilo 50 mpaka 92,000/ kwa kilo 50. Unasemaje hapo?
 

Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.​

Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,

Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,

Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,

#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1965592
Ccm imeshindwa kuondoa shida ya maji kwa miaka 60 sasa tangu uhuru, tusitegemee lolote la maana kutoka kwa mama huyu.
 
Uko sahihi Mwamba,

Samia hagusi hata mia
Tanzania imebarikiwa mno....

Bara hakuna kiongozi mwenye TAMAA KOKO.....

Visiwani hakuna kiongozi mwenye TAMAA KOKO...

Nilipata kumsikia mwanajeshi mmoja wa cheo cha Kati akimuongelea mh.Rais Hussein Mwinyi kuwa alipopata kufanya naye kazi kule "NGOME" Wizara ya Ulinzi hakupata kushuhudia/kusikia kuwa waziri huyo wa zamani "AMEKWIBA/AMEBEBA" hata kalamu ya OFISI....

HAO VIONGOZI WAWILI NI ZAWADI KUBWA KWETU WATANZANIA ๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom