Bajeti ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21

Bajeti ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21

Kila nikiangalia tv Huwa nakutana na wamama wanafurahia miradi ya maji,Jana tuu mwenge umezindua mradi wa Maji Karagwe huko pesa ya mama.

Jana hiyo hiyo Waziri wa Maji alikuwa Dar ,wananchi mtaa fulani walikuwa wanalima lia maji kawaambia pesa iko wizarani ndani ya wiki hii wataona mafundi site yaani ni maneno na vitendo.

Moto wa Samia sio wa Nchi hii.
KAZI IENDELEE KWA KASI NA WELEDI ZAIDI


UWESU ANACHAPA KAZI SANA

#KAZI IENDELEE KWA KASI NA WELEDI ZAIDI
 
mwaka wa ngapi huu maji yanaondoka Ruvu kwenda dar? Na siye wa karibu tunaingizwa kwenye ilani kila siku?
Mkuu hakuwa Samia,

Ipe muda serikali ya awanu ya 6,,
 
Hakika mkuu wangu....

Hayati JPM hakukosea kumteua kuwa mgombea mwenza.....JINA LAKE ni KUSIKIA/USIKIVU/MSIKIVU😍
 

Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.​

Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,

Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,

Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,

#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1965592

122D553A-1D87-4B08-B81E-E0C6DB33BF56.jpeg
 
Ilani haiwezi kuwa zaidi ya Utashi mkuu,

Amina wanachokwambia
Utashi utashi utashi.....

Unaweza kuwa na ilani nzuri ISITEKELEZWE.....

Ni sawa na wale jamaa wanaoidai KATIBA MPYA.....hata ikipatikana HAIJIENDESHI........🤣
 
Adumu Chifu Mkuu Hangaya
Zidumu fikra sahihi za Chifu Mkuu Hangaya😍
Zidumu milele 💪🏿💪🏿💪🏿🤛🏿🤛🏿

Anajenga SGR- YEYE
Bwawa la Umeme SG- YEYE
MSALATO AIRPORT - YEYE
UNUNUZI WA NDEGE -YEYE
BASI ZA UDART 70 -YEYE
MKOA CHATO-YEYE
MADARASA ELFU 15- YEYE
VITUO VYA AFYA 220-YEYE
LAMI KILA KONA -YEYE
MIKOPO KILA MWANAFUNZI -YEYE
MISHAHARA JUU-YEYE
AJIRA ELFU 40-YEYE

ENDELEA ............
 

Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.​

Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,

Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,

Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,

#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1965592
waziri wa maji huyu kijana yupo vzr sana. Afu samiah sio mwizi ni rais mwanamke.
 
Back
Top Bottom