Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Hakuna kama Samia,#Kazi Iendelee kwa kasi & weledi zaidi 💪😍
CCM baba lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kama Samia,#Kazi Iendelee kwa kasi & weledi zaidi 💪😍
😍😍Awamu ya 6 inakwenda kulizika tatizo kongwe la shida ya maji Safi na salama💪👍😍
Siempre JMT
Mzee uko makini kama bomu la nyuklia,Chief Hangaya ni fire fire 👇Ifikapo mwaka 2030 Shida ya maji safi na salama Tanzania huenda ikasalia kuwa historia | Bajeti mpya ya maji ya Rais Samia ni karibu mara tatu zaidi ya ile ya FY2020|21.
Rais Samia Suluhu Hassan kwenye bajeti yake ya maji ya kwanza ametenga jumla ya Tshs 589.4BL kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji safi na salama mjini na vijijini nchi nzima, bajeti hii ni sawa na ongezeko la 284% kutoka Tshs 207.5BL zilizotolewa kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji huo wa maji safi na salama FY2020|21,Bajeti hii ya Rais Samia ni karibu maratatu zaidi ya ile ya mtangulizi wake,
Kwakuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mwanamke na kwakuwa zaidi 80% ya wanaopata adha ya maji mjini na vijijini ni wanawake hatimaye rais huyu mnyenyekevu ameamua kwa vitendo " Kuwatua Ndoo Vichwani " wanawake wenzake kwa kutenga kiasi hiki kikubwa cha fedha kwaajili ya Uchimbaji na Usambazaji wa maji mjini na vijiji,kiasi hiki cha fedha ya maendeleo hakijawahi kutengwa na serikali yeyote tangu uhuru,Heko Rais Samia,
Wastani wa upatikanaji wa maji safi na salama mjini na vijini ni 79.15% huku mjini ikiwa ni 86% na vijijini ni 72.3% huku lengo la Serikali lilikuwa ni kufikia 85% mwaka 2025 na 90% ifikapo mwaka 2035 but kwa kasi hii ya Rais Samia ambapo thamani ya bajeti ya maji ya mwaka mmoja ya Rais Samia ni sawa na thamani ya miaka mitatu ya bajeti ya maji ya Serikali iliyofanya makisio hayo,kwa lugha rahisi kabisa " Mwaka mmoja wa maji wa Rais Samia ni sawa na miaka mitatu ya maji ya mtangulize wake " au 1:3 yaani malengo ya maji ya Miaka 10 kwenye Serikali iliyopita yatatekelezwa kwa miaka 3.3 tu na Rais Samia, Kama kuna mtu wa kuombewa zaidi kwa sasa Tanzania basi ni Rais Samia,
#Nchi yenu iko katika Uelekeo Sahihi zaidi pengine tangu kuasisiwa kwake,
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA
View attachment 1965592
🤣🤣🤣🤣Mimi nikichaa kabisa ,nijibu
NdiyoNdio mkuu hakuna aliyekataa,
Kwani kunashida?
#KAZI IENDELEE KWA KASI NA WELEDI ZAIDI
Mama anatisha balaa,Mzee uko makini kama bomu la nyuklia,Chief Hangaya ni fire fire 👇
View attachment 1965723
View attachment 1965724
💪🏿💪🏿💪🏿👏🏾👏🏾👏🏾Mkuu CM 1774858 ,
Naona unamaliza mgogoro wa nani zaidi,
Nilisema mapema msicheze na Samia haibi hata mia pesa yote kwenye miradi,
Nawashauri Wale wanaondelea na darasa la uongozi wafundishe haya,
Maji bado ni tatizo kubwa maeneo mengi asante mama samia,
CCM CHAMA,
Anatisha 💪🏿💪🏿💪🏿👏🏾👏🏾👏🏾Mama anatisha balaa,
Wapinzani wameufyata
#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI
💪🏿💪🏿💪🏿👏🏾👏🏾👏🏾Ndiyo
MKUU wangu salama?Mzee uko makini kama bomu la nyuklia,Chief Hangaya ni fire fire 👇
View attachment 1965723
View attachment 1965724
Vivaa Samia VIVAAAA💪
Mmeanza kusogeza magoli, 😛😛😛Taarifa zako zinaleta mgawanyiko kwa faida ya upinzani
CCM ndicho chama kinachoendana na umbile la TANGANYIKA NA ZANZIBAR......Hakuna kama Samia,
CCM baba lao
🤣🤣Mh.SSH alibezwa sana....ila muda utazidi kuongea.....Mmeanza kusogeza magoli, 😛😛😛
Huyu mtu nampenda kiboko ya waongo,
Mlisema Samia hawezi kuongoza nchi tena tunagawanyikaje?
Lile Darasa la uongozi linaleta Mshikamano ?
Chief Hagaya 🙏🏿Vivaa Samia VIVAAAA💪
Vivaaaa chifu Mkuu wa machifu Tanzania 🙏💪Chief Hagaya 🙏🏿
Iliniumiza sana,🤣🤣Mh.SSH alibezwa sana....ila muda utazidi kuongea.....
Watanzania wanaona.....
#SiempreSSH
Hakika mkuu....Iliniumiza sana,
Ila mungu ametujibu🙏🏿🦻🏿