Yusuph Mngombe
Member
- Jul 13, 2018
- 5
- 2
Allah akuongoze Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan katika kila la kheri na akuepushe katika kila la shari wewe na viongozi wezako wa Tanzania katika kuiongoza Tanzania Inshaallah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bunge halina mvuto, hivyo watu hawafuatilii bunge la majizi ya kura. Hata huku mitaani watu hawasikilizi kabisa maana wanajua hakuna jipya.Wadau, hivi kweli kuna Bajeti ya serikali inasomwa leo?Mbona hatuoni dalili hapa mtandaoni zaidi tu ya thread zinazotujuza kuwa leo kuna Bajeti?
Au wameahirisha?
Mnaotazama TBC,nini kinaendelea?
Muaache wizi wa kura ili watu wafuatilie huo utapeli wenu.Unataka sisi tufanyeje!!
Toa unyumbu kwanza .
Bajeti inasomwa tangu saa kumi kamili.
Na ni bajeti bora kabisa, ccm daima.
Pumzika kabisaMimi nasubiri tu nione watanipandisha daraja langu au wataniletea za kuleta ili niendelee kuzingua kazini! Nahesabia tu! Mwaka wa sita huu, bila bila!
Ukizingua mtazinguana na Mkurugenzi wako mkuu[emoji23]Mimi nasubiri tu nione watanipandisha daraja langu au wataniletea za kuleta ili niendelee kuzingua kazini! Nahesabia tu! Mwaka wa sita huu, bila bila!
Yaani hakuna mvuto wowote Kama zamani,mm nimejua kupitia jukwaa hili nilikuwa sijui chochote aisee [emoji23]Dahl!Kweli watu wamewachoka. Utadhani Bajeti ya wizara fulani ndio inasomwa!!
Ni bajeti funga kazi .
Ccm daima
Chadema watanyooka tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watanzania mko wapi, bajeti yenu inasomwa huku.[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu hawana hata mpango...
Kisha kuongeza kwenye mafuta ili wapate hela ya kujenga barabara... Unatoa tozo ya nyasi bandia unaongea mafuta ahahhaBajeti ina uhalisia na inaleta matumaini... Tozo nyingi zimepunguzwq
Hahahaha mkuu umeua aisee [emoji23][emoji23]Hilo bunge lina laana hakuna yeyote anayehangaika nalo kwa chochote kinachoendelea humo ndani, kusoma budget ni sawa tu na kutangaza majina ya wageni mahawara zao.
Mimi nimetoka Dodoma jioni hii nikashuka hapa Moro nipo baa watu hawana habari wameka flash wanagonga muziki as usualBunge halina mvuto, hivyo watu hawafuatilii bunge la majizi ya kura. Hata huku mitaani watu hawasikilizi kabisa maana wanajua hakuna jipya.
CCM ilishakufa na mwisho wake rasmi ni 2025Toa unyumbu kwanza .
Bajeti inasomwa tangu saa kumi kamili.
Na ni bajeti bora kabisa, ccm daima.
Jamaa haamini kuwa jiwe hatukonaeAhahah,,dada inaonyesha Bado una maruerue ya msiba wa dikteta
Walimlawiti huyo sio bureChadema kwa mara nyingine.
Si bure kuna jambo Chadema walikufanyia.
Hivi umewataja mara ya ngapi hii, leo mkuu?