Amejiharibia mwenyewe...Ameshakuwa liability badala ya kete kwakukosa hekima na busara kama yule wa mkoa ule aliyeongea akapitiliza....Mama aliletwa SMT na Mzee Kikwete na huo ukweli aliusema siku analihutubia bunge.
Hawezi kuwa na ujasiri wa kumpinga JK na ukizingatia ni mama ndio ushawishi wa awamu ya nne unavyozidi kujikita.
Mwigulu pia ni nguvu ya JK kufika alipofika hivyo hawezi kupindua kwa ushawishi wake.
Mwigulu anafaa uwaziri na hafai kabisa kuwa rais.
Mwigulu hakuna la maana anafanya, kwanza anatakiwa kuwa ndani achunguzweHii tengua tengua ni moja ya jambo ulilosema jana kuwa lilifanywa na late Magufuli kwa pupa kwa maana alitoa kadi hata bila kuona kosa bali kwa kuambiwa. Hukuishia hapo ukamunanga Mh Rais SAMIA kuwa amefundishwa siasa na JK huku ukisahau kuwa AWAMU YA 5 ndiyo iliyomtambulisha mama Kwenye OPEN EYE politics na kumheshimisha zaidi. Kwa ufupi ulichokifanya jana ni uchonganishi na dharau kubwa kwa viongozi wakuu wa nchi. Namalizia kwa kusema JIANDAE your political carrier will be fated to end badly. Mwigulu Nchemba.
Mwigulu hafai kuwa kiongozi hata kidogoMama aliletwa SMT na Mzee Kikwete na huo ukweli aliusema siku analihutubia bunge.
Hawezi kuwa na ujasiri wa kumpinga JK na ukizingatia ni mama ndio ushawishi wa awamu ya nne unavyozidi kujikita.
Mwigulu pia ni nguvu ya JK kufika alipofika hivyo hawezi kupindua kwa ushawishi wake.
Mwigulu anafaa uwaziri na hafai kabisa kuwa rais.
Hakuna Waziri hapo ni kopo tupuHuyu mnafiki kashaanza kusema uchumi unakua huku boss anasema uchumi umeshuka
ulimsikiliza vizuri lakini? isiwe ww ndo mchonganishi ndugu..!🙄Hii tengua tengua ni moja ya jambo ulilosema jana kuwa lilifanywa na late Magufuli kwa pupa kwa maana alitoa kadi hata bila kuona kosa bali kwa kuambiwa. Hukuishia hapo ukamunanga Mh Rais SAMIA kuwa amefundishwa siasa na JK huku ukisahau kuwa AWAMU YA 5 ndiyo iliyomtambulisha mama Kwenye OPEN EYE politics na kumheshimisha zaidi. Kwa ufupi ulichokifanya jana ni uchonganishi na dharau kubwa kwa viongozi wakuu wa nchi. Namalizia kwa kusema JIANDAE your political carrier will be fated to end badly. Mwigulu Nchemba.
Mkuu Mshana Jr yaani sijaona unafuu wowote kwenye hii budget zaidi ya maumivu tupuSome basic highlights from the Budget 2021
1. SDL threshold will now be for 10 Employees not 4 Employees as it was before. Currently SDL is paid by Employer 4% of the Employee Gross Salary
2. Kupungua kwa Excise Duty on beer from TZS 765 per litre to TZS 610 per litre...
Mpaka 4000 soonMmhh,
Yaani mafuta yanazidi kupaa, yatafika Hadi 3,000 kwa Mwaka 2021/2022 kwa kuongeza ushuru.
Tusisahau maybe aliwahi kupewa red card na MwendazakeHii tengua tengua ni moja ya jambo ulilosema jana kuwa lilifanywa na late Magufuli kwa pupa kwa maana alitoa kadi hata bila kuona kosa bali kwa kuambiwa. Hukuishia hapo ukamunanga Mh Rais SAMIA kuwa amefundishwa siasa na JK huku ukisahau kuwa AWAMU YA 5 ndiyo iliyomtambulisha mama Kwenye OPEN EYE politics na kumheshimisha zaidi. Kwa ufupi ulichokifanya jana ni uchonganishi na dharau kubwa kwa viongozi wakuu wa nchi. Namalizia kwa kusema JIANDAE your political carrier will be fated to end badly. Mwigulu Nchemba.
Madaraka hulevya, ukiwa mbali na hivi vyeo ni rahisi kuyaona makosa yote.Amejiharibia mwenyewe...Ameshakuwa liability badala ya kete kwakukosa hekimabna busara kama yule wa mkoa ule aliyeongea akapitiliza....
Nimesoma full text ya hotuba yake yote. Mambo ya ajabu ameweka mule ndani.ulimsikiliza vizuri lakini? isiwe ww ndo mchonganishi ndugu..!🙄
Inaonekana Rais anapenda hilo jina litumike.Huyu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amemkosea sana Rais SSH.. Urais wa SSH ni wa Kisheria na Kikatiba 'period'..
Hii kuanza ku-define kuwa MAMA YETU ni sawa na MH. Rais SSH ni dharau iliyopitiliza.. hakuna mbadala wa cheo na hadhi ya Rais..
Kwa nini hakuwahi kufanya hivi kwa ma-Rais waliopita?
Kwenye muktadha rasmi kama Bungeni ambapo kila sentensi inarekodiwa na kuhifadhiwa kwa miaka mingi, hapa haikuwa sawa..
Waziri wa Fedha MM amwombe radhi haraka Rais SSH Bungeni ili kutengua 'definition' yake .. 😡 😡
'Issue' hapa ni muktadha.. Pale ni bungeni na mambo yanaenda kisheria.. Bunge ni kikao rasmi cha mhimili tofauti..Inaonekana Rais anapenda hilo jina litumike.
Inaonekana wakiwa vikaoni anaridhika kuitwa hivyo.
Muktadha hauondoi ukweli kuwa Samia Suluhu ni rais mwenye maumbile ya kike.'Issue' hapa ni muktadha.. Pale ni bungeni na mambo yanaenda kisheria.. Bunge ni kikao rasmi cha mhimili tofauti..