Bajeti ya Serikali 2021/2022 ni Trilioni 36.33, Bodaboda na Madiwani Waneemeka, Barabara hadi Vijijini, Miradi kuendelea, Watanzania Kufunga Mkanda

Amejiharibia mwenyewe...Ameshakuwa liability badala ya kete kwakukosa hekima na busara kama yule wa mkoa ule aliyeongea akapitiliza....
 
Mwigulu hakuna la maana anafanya, kwanza anatakiwa kuwa ndani achunguzwe
 
Mwigulu hafai kuwa kiongozi hata kidogo
 
Kakose kipi mwigulu? Kaongea ukweli kumhusu kikwete na sio sifa za kinafiki

Magufuli ana sifa zake pia, mkipenda msifieni

Mwigulu bado yupo sana
 
Jambo ambalo kuna wenzetu wanapaswa kujifunza kutoka kwa hawa wakongwe kama JK ni hesabu za mbali na tolerance kwenye siasa na uongozi...

Wale jamaa zetu wakati wanatamba hawakujua wenzao walishapiga hesabu za mbali saaana na too many options kuja kupindua meza na kuwapoteza kabisa.... wakati wanatamba hawakujua wamezungukwa kila mahala kiasi hata cha kutokujua hata wale wanaowaamini ni royal kwao sio royal bali ni flexibility kusubiri muda..

mfano wa kosa lingine ambalo jamaa zetu pia hawalijui; kuna mtu wenyewe wanamuamini na kumuona mwenzao kweli na mpaka kupambana wamsimamishe kama wakifanikiwa, na huyo jamaa amejikausha anajifanyaga mwenzao naye anasubiri time tu.....tutumie akili sana kuliko maguvu...
 
Some basic highlights from the Budget 2021
1. SDL threshold will now be for 10 Employees not 4 Employees as it was before. Currently SDL is paid by Employer 4% of the Employee Gross Salary.

2. Kupungua kwa Excise Duty on beer from TZS 765 per litre to TZS 610 per litre.

3. Kufuta need ya Minister for Finance kutoa waiver ya penalties and interest. Sasa kutolewa na Commissioner General.

4. Exemption ya VAT kwa NGOs zenye MOUs na Government ambapo MOU inaeleza kwamba serikali itazisaidia taasisi hizi kupata msamaha wa kodi ya VAT.

5. Makosa ya Bajaji na Bodaboda punguzo la adhabu kutoka TZS 30,000 hadi TZS 10,000 kwa kosa.

6. Transfer Pricing penalties resulted from transfer pricing adjustments passed by TRA. In 2018 TP Regulations introduced this penalty which is 100% of the adjustment (rather than additional tax assessed).

7. Kuanzisha gharama ya kila muamala ya fedha kuanzia TZS 10 hadi TZS 10,000 kwa kila muamala, kulingana na kiwango.

8. Kutoza kiwango cha TZS 10 hadi TZS 200 kwa siku kwa kila laini ya simu kulingana na uwezo wa kuongeza salio.

9. Ukusanyaji wa Kodi ya kodi ya majengo (Property Tax) ufanywe kupitia Luku. Uksanyaji utafanyika kila mwezi. Ukusanyaji utakua TZS 1,000 kwa nyumba ndogo na TZS 5,000 kwa Ghorofa.
 
Huyu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amemkosea sana Rais SSH.. Urais wa SSH ni wa Kisheria na Kikatiba 'period'..
Hii kuanza ku-define kuwa MAMA YETU ni sawa na MH. Rais SSH ni dharau iliyopitiliza.. hakuna mbadala wa cheo na hadhi ya Rais..
Kwa nini hakuwahi kufanya hivi kwa ma-Rais waliopita?
Kwenye muktadha rasmi kama Bungeni ambapo kila sentensi inarekodiwa na kuhifadhiwa kwa miaka mingi, hapa haikuwa sawa..
Waziri wa Fedha MM amwombe radhi haraka Rais SSH Bungeni ili kutengua 'definition' yake .. 😡 😡
 
ulimsikiliza vizuri lakini? isiwe ww ndo mchonganishi ndugu..!🙄
 
Mkuu Mshana Jr yaani sijaona unafuu wowote kwenye hii budget zaidi ya maumivu tupu
 
Tusisahau maybe aliwahi kupewa red card na Mwendazake
 
Amejiharibia mwenyewe...Ameshakuwa liability badala ya kete kwakukosa hekimabna busara kama yule wa mkoa ule aliyeongea akapitiliza....
Madaraka hulevya, ukiwa mbali na hivi vyeo ni rahisi kuyaona makosa yote.

Ukishakuwa ni mtu wa kupigiwa simu na Rais dakika yote ile au kuwa sehemu ya zile video conferences umekaa pembeni yake mara nyingi akili zinawaruka watu.

Ni udhaifu wa wasomi wengi wa kitanzania ingawa tunatofautiana namna ya kuuweka hadharani.
 
Inaonekana Rais anapenda hilo jina litumike.

Inaonekana wakiwa vikaoni anaridhika kuitwa hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…