APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Hapo unapoelekea utapata kisukari,vyakula vyote unavyokula vitamu,soda nyingi punguza sodamim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
Piga hesabu na vitu vya msingi ndio maana ya budget ya siku. Hivyo unaenda kununua at per labda unatumia 150k. maana yake kwa simu ukitumia kitunguu sio bure ulikinunua.Tsh 10,000/= Ila vitu vya msingi vyote viwepo,mchele,unga,maharage makande nyanya vitunguu carrot nk .
Kama una uwezo unachukua nyama 2Kg na samaki wa 20K unaweka kwenye friji unaacha wanajipangia wenyewe kwa bajet, kama unaishi mjini kununua ndizi za kutosha familia ni anasa siku wakipika ndizi wamix na wali siku zisogee.
Duh60000 mpaka laki inategemea nmeamkaje amkaje, nko bachela
Nimejitahid sana kuacha soda lakin nimefeli, natembea adi na kopo la maji safi bariiid lakin pepo la soda linanikalia kooni linanifunga na miguu linanipeleka dulani. nahitaji THERAPYHapo unapoelekea utapata kisukari,vyakula vyote unavyokula vitamu,soda nyingi punguza soda
Jamaa yangu apo,unatakiwa uangalieustakabali wa afya yako,maana.unapoelekea pabayaNimejitahid sana kuacha soda lakin nimefeli, natembea adi na kopo la maji safi bariiid lakin pepo la soda linanikalia kooni linanifunga na miguu linanipeleka dulani. nahitaji THERAPY
Unavyozidi kutumia sukari microbiomes walioko ndani mwako ndivyo wanazidi kuufanya ubongo wako uhitaji tena na tena kwasababu wanaipenda.Nimejitahid sana kuacha soda lakin nimefeli, natembea adi na kopo la maji safi bariiid lakin pepo la soda linanikalia kooni linanifunga na miguu linanipeleka dulani. nahitaji THERAPY
Hii formula yako niliijaribu ikafail kabsa nyumbani kwanguMi wife huwa nampa laki nne na nusu kila mwezi.. Ila sasa hapo hapo na mimi huwa natoa pesa yangu mfukoni kuwa nanunua vitu vidogo nikijiskia..
Kwahiyo on average kwa siku inaweza kuwa kama 25,000 kwa sababu mimi asubuh na mchana huwa nakula town na ukijumlisha nauli.
Familia ya mtoto mmoja
Yaani laki 3 na kwenda juuminimum 10000 hapo ni kwakujibana na kupunguza milo
Nimeona nifanye hivo pia kwa sababu na yeye aweze kupata pesa zake za pembeni.. Ningeweza kumpa elfu kumi kila siku, ila nyumba isingekuwa na amani...Hii formula yako niliijaribu ikafail kabsa nyumbani kwangu
Vipi wife alipeleka hela kwenye vicoba🤣🤣🤣🤣🤣Hii formula yako niliijaribu ikafail kabsa nyumbani kwangu
Kwa mfumo huu wa chakula lazima mtu upate kwashakormim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k