Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
...Realstick. Pongezi....
 
Shilingi ya kitanzania 5,000.
Tuko watano, watoto wawili, watu wazima watatu.
Umeme, king'amuzi, unga, mchele, maharage, sabuni, n.k pembeni
...Realstick. Pongezi Mkuu Nunio...
 
Asubuhi chapati mbili na maharage 800

Mchana ugali dagaa 1000 kwa mama nitilie

Jioni maziwa au juice na matunda tunda 1000 au siku nyingine nabadilisha uji wa ulezi au maziwa au supu ya pweza na finyango mbili 1000 hapo kijiweni


Usiku wali nyama au wali samaki 2000


Jumla 4800


Nisipo pita jion kijiweni bajeti inakuwa 3800 kwa siku


Nilipika nyumbani basi ni buku 1000
...Pongezi...
 
mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k

Punguza soda hizo mkuu bora unywe maji nimempoteza mtu wangu wa karibu kisa sukari,,,
 
mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
Naona unatafuta kisukari kwa nguvu zote.
 
Nyumbani(Wife & Junior) 10,000/=

Mimi 3500/= kwa ajili ya nauli(kwenda kijiweni na kurudi nyumbani) na maji.

Mengineyo inategemeana na hitaji litakalojitokeza.

Bando ni 2000/= kwa wiki ila huwa linaisha kwa siku 5 au chini ya hapo.
 
kuna sku,nmechukua 10k,nmeenda sokoni imeishia kwenye mboga tu na viungo,mpka leo najiulizaga inakuwaje wife ukimpa hata 10k anapika mpka usku

Wanawake wanajitahidi mno vitu vimepanda mno bei sasa hivi mchele mzuri kilo moja 3000,nyama 8000 ,samaki mzurii sangara 15,000 ,kuku mzuri 25000 wa kienyeji
Siku zingine mtakula maharage
 
Niseme tu ukweli.
Bajeti yangu kwa kila siku haivuki elfu 3000 maxumum, minimum 1,500.

nikishasaga unga kitini cha elfu 5 kinakaa siku 4, mimi n.mke wangu tunakula tu hamna shida.

Maisha bado hayaeleweki mwaka wa saba huu sina ajira yoyote, nimesaka ajira hadi najishangaa nina nuksi gani mimi

Hapa napambana kulipa kodi miezi mitatu mambo ni moto.

Nashukuru tu naishi Mwanza karibu na kijijini kwetu, mambo yakinikaba sana narudi kijijini kulima hakuna namna
 
Kwa hali ilivyo sasa hivi bajeti haieleweki kabisa inabadilika badilika sana kwa sababu hata kipato nacho kinabadilika badilika labda nyie wenzetu mnaolipwa mishahara ila kina sisi waganga njaa ni hatari zaidi siku unapokuwa huna kakibarua aisee
 
Wanawake wanajitahidi mno vitu vimepanda mno bei sasa hivi mchele mzuri kilo moja 3000,nyama 8000 ,samaki mzurii sangara 15,000 ,kuku mzuri 25000 wa kienyeji
Siku zingine mtakula maharage
Mchele 1kg @ 3,000 sawa
Nyama 1kg @ 8,000 sawa
Samaki 1pc @ 15,000 sawa
Kuku 1 @ 25,000 Hapa itakuwa wa kienyeji mmoja na wa kisasa mmoja.

Siku kukiliwa ndondo, mboga za majanj, ubwabwa, ugali; gesi, mkaa, maji, chumvi, n.k viko ndani, 5,000 haitoshi vipi?

Na kama wote tunatoka asubuhi kwenda kutafuta, weka 5k ubaoni, naweka 5k ubaoni, ishakywa 10k hiyo
 
Back
Top Bottom