Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Ni kweli mkuu, sijadanganyaHuuu ni uongoo bana ,uongooooooooo[emoji848][emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu, sijadanganyaHuuu ni uongoo bana ,uongooooooooo[emoji848][emoji848][emoji848]
Niseme tu ukweli.
Bajeti yangu kwa kila siku haivuki elfu 3000 maxumum, minimum 1,500.
nikishasaga unga kitini cha elfu 5 kinakaa siku 4, mimi n.mke wangu tunakula tu hamna shida.
Maisha bado hayaeleweki mwaka wa saba huu sina ajira yoyote, nimesaka ajira hadi najishangaa nina nuksi gani mimi
Hapa napambana kulipa kodi miezi mitatu mambo ni moto.
Nashukuru tu naishi Mwanza karibu na kijijini kwetu, mambo yakinikaba sana narudi kijijini kulima hakuna namna
Maisha ya bongo movieTsh 10,000/= Ila vitu vya msingi vyote viwepo,mchele,unga,maharage makande nyanya vitunguu carrot nk .
Kama una uwezo unachukua nyama 2Kg na samaki wa 20K unaweka kwenye friji unaacha wanajipangia wenyewe kwa bajet, kama unaishi mjini kununua ndizi za kutosha familia ni anasa siku wakipika ndizi wamix na wali siku zisogee.
Kati ya 2m an 1.5m kwa siku. Vyakula vyangu naagiza
Mental slaveryKati ya 2m an 1.5m kwa siku. Vyakula vyangu naagiza ulaya au america.
Huuu ni uongoo bana ,uongooooooooo[emoji848][emoji848][emoji848]
Nitakuwa nakupa 7000Ila jamen mnaacha 5000 au mi sijaelewa atanunua nin mboga zilivyo na beii hao,5000 tu ni ya maziwa nyie watu ongezeni kuacha hela home acheni ubahili vitu vilivyopanda bei hivyo
Matajiri wa jf jamani cx Evelyn Salt
Wanatafuta madeniKumbe watu ni matajiri ila sasa ukiwakuta kwenye nyuzi nyingine ni kujiliza hali ngumu kumbe watu humu mnatumia hadi 35K kwa siku.
Caviar, tuna fish, chateau cheval blanc, pule cheese, shepherds loaf, na kinmemai premium riceVyakula gani hivyo wakti Tz vyakula ni organic
Atakua anaagiza kitimoto ulayaVyakula gani hivyo wakti Tz vyakula ni organic
Hata sivijuiCaviar, tuna fish, chateau cheval blanc, pule cheese, shepherds loaf, na kinmemai premium rice
Maziwa,mayai yanatakiwa yawepo kuna hata hunywi maziwa kila siku sababu yananenepesha ,ni unaweka kwa maharage,kztengeneza custard,keki, kupikua chapatiNitakuwa nakupa 7000
Unapenda maziwa kama paka
Una ulaji mbovu mkuu,hayo masoda na Energy unayokunywa hovyo yana madhara mwilini mwako.mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
Kwakweli unajua kuna watu hzwa hawaendi local marketAtakua anaagiza kitimoto ulaya
Yah naelewa , weekend mliman,palm wanajaz mavitu ni level tu ya lifeKwakweli unajua kuna watu hzwa hawaendi local market
Jaribu chapati tatu tuvunje hii principle ya chapati mbili mkuuAsubuhi chapati mbili na chai moja=1500
Mchana chakula 3000.
Jion chapati na chai 1500.
Usafiri 1000.
Jumla 7000.kwa siku
Ehee sie wengine soko kuuuYah naelewa , weekend mliman,palm wanajaz mavitu ni level tu ya life
Tafuta kinywaji mbadla wa hiki, Hupaswi kutumia mara kwa mara, unahatarisha afya yako. Chukua tahadhari mapema.Coca-Cola bariid