emrod
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 181
- 229
Maisha tunatofautiana hio amount unakula nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha tunatofautiana hio amount unakula nini
Soko kuu tunachagua vyakula sakafuni ,all in all wote tunaishiEhee sie wengine soko kuuu
Kweli lakiniMaisha tunatofautiana hio amount unakula nini
Kwa ulaji huu ukifika 45 yrs huna sukari ama pressure basi ukatoe sadaka kubwa sana.mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
Aliekwambia kula sana sukari kunasababisha kupata kisukari nani?Hapo unapoelekea utapata kisukari,vyakula vyote unavyokula vitamu,soda nyingi punguza soda
Aliekwambia kula sana sukari kunasababisha kupata kisukari nani?
Hizo ngano unazozijaza tumboni,huwa unakunya kweli mkuu?Asubuhi chapati mbili na chai moja=1500
Mchana chakula 3000.
Jion chapati na chai 1500.
Usafiri 1000.
Jumla 7000.kwa siku
Inategemea kuna nani nyumbani kwa wakati huo..!! Maana walioko shule huwa wana bajeti zao separate lakini wakiwepo home, ya shule inajumlishwa home. SO kwa siku inarange kuanzia 6,000/- hadi 10,000/- Lakini wakati huo, vufuatavyo vipo home na ni vya siku 30 kila kimoja; mchele, sukari, sabuni ya kuogea na kufulia, mafuta ya kula, DSTV, LUKU, perfume, lotions, wa kusuka, mafuta ya gari, unga, maharagwe, maziwa, majani ya chai, chumvi, gesi mtungi saizi ya kati (15kg), mitoko ya hapa na pale etcTushirikishane bajeti yako hasa nyakati hizi ambazo bidhaa muhimu kama nafaka zilivyopanda bei. Je, wewe kwenye familia yako bajeti kwa siku ni shilingi ngapi?
Naenda vizuri, na zoezi nafanya sana.Hizo ngano unazozijaza tumboni,huwa unakunya kweli mkuu?
Sasa endelea kula sukari,vitu vingi vinasababisha kupata kisukari,pombe,kutokufanya mazoezi,vyakula,ikiwemo artifical sugar na mengine mengiAliekwambia kula sana sukari kunasababisha kupata kisukari nani?
Broo maisha yako tofauti sana lakin MUNGU mkubwa nataman niķwambie y nimeandika iv lakin tuishie tu hapa hapaAsubuhi chapati mbili na chai moja=1500
Mchana chakula 3000.
Jion chapati na chai 1500.
Usafiri 1000.
Jumla 7000.kwa siku
Funguka Mkuu sababu hakuna ajuae kila kitu.Broo maisha yako tofauti sana lakin MUNGU mkubwa nataman niķwambie y nimeandika iv lakin tuishie tu hapa hapa
Familia ya Watu 6..Tushirikishane bajeti yako hasa nyakati hizi ambazo bidhaa muhimu kama nafaka zilivyopanda bei. Je, wewe kwenye familia yako bajeti kwa siku ni shilingi ngapi?
Mkuu uko vizuri, ni familia ya watu wangapi kama hutojali?!Wife nimemwekea maximum ya tsh 800,000 kwa kila kitu (chakula, usafiri na mambo yote ya nyumbani) na hapo atunze laki moja kila mwezi ambayo ninamdai 1.2m mwisho wa mwaka. Namfundisha nidhamu ya kukaa na cash bila kuitumia.
Asante, jumla tupo sita. Mimi, wife, watoto watatu na msaidizi mmoja japo pia ndugu huwa wanakuja mara kadhaa.Mkuu uko vizuri, ni familia ya watu wangapi kama hutojali?!
Hii kwa msela ni anasa.mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k