Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

Bajeti yako kwa siku ni shilingi ngapi kwa wewe mwenye familia?

Vipi wife alipeleka hela kwenye vicoba🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu sijaoa bado ila sasa huyo niliyekuwa nampa budget ya mwez nadhani alikuwa kwenye hiyo budget anatumia 25% nyingine sijui alikuwa anafanyia nini.
Na mimi formula ni kununua vitu vya msingi kwa jumla kama mchele, ngano, sembe, maharage then mboga ndo inaunuliwa kila week na sometimes vyakula vya kubadili kama ndizi, viazi.
Nilijaribu mwisho nikanyoosha mikono nikaone isiwe tabu ntakuwa mwanaume wa zenj vyakula nanunua mwenyewe utaambulia pesa ya kutumia kwa matumizi yako tu.
 
Nimeona nifanye hivo pia kwa sababu na yeye aweze kupata pesa zake za pembeni.. Ningeweza kumpa elfu kumi kila siku, ila nyumba isingekuwa na amani...

Hapo najua kila mwezi atakuwa ame save sio chini ya laki moja.. Nna maana kwanini nafanya hivo
Kama inaenda hadi mwez poa ila sasa mm week tu hakuna kitu au anawalisha watu chakula kama mko boarding nikaona tabu ya nini. Nikaingia kazini mwenyewe
 
Laki 1 kwa siku. Mara moja moja nikiwa na nafasi nanunua mchele au samaki naweka kwenye friji wa kutosha wiki 2 au 3 ila sio lazima. Umeme na maji pembeni na DStv
Laki moja?? Mkuu
 
Mzee usitegemee kupata ulichokuwa unakitafuta,bajeti kila mtu ana zake,cha msingi kama unafamilia nunua kila kitu ndani,vyote vya muhimu uwe unatoa ela ya week ya mboga tu,kwa mfano;weka bajeti ya vyakula
 
mim nashinda hasa vijiweni kwaiyo siku nzima uwa nakula kwa kudanda danda kijiwen, Asubuhi kabisa ya saamoja uji kombe la 500, ifikapo njaa mida ya saatatu ndizi jero, mshkaki jero na Coca-Cola bariid ya 600, apo inakatika 1600, mchana wali 1500 na Coca-Cola bariid 600 inakuwa 2100, next Azam energy bariid 600, jion ya saamoja kikombe kimoja cha Alkasusu 500 kwaiyo apo inakatika kama 5,800 lakin sometimes uwa nabadirisha inafika ad 10k
20220918_090217.jpg
 
Mzee usitegemee kupata ulichokuwa unakitafuta,bajeti kila mtu ana zake,cha msingi kama unafamilia nunua kila kitu ndani,vyote vya muhimu uwe unatoa ela ya week ya mboga tu,kwa mfano;weka bajeti ya vyakula
Hata ununue vitu vya mwezi si ndio umetumia pesa. Hivyo utakavyo tumia kila siku kama mchele, maharage, nyanya nk unaingiza ndani ya bajeti.
 
Mkuu sijaoa bado ila sasa huyo niliyekuwa nampa budget ya mwez nadhani alikuwa kwenye hiyo budget anatumia 25% nyingine sijui alikuwa anafanyia nini.
Na mimi formula ni kununua vitu vya msingi kwa jumla kama mchele, ngano, sembe, maharage then mboga ndo inaunuliwa kila week na sometimes vyakula vya kubadili kama ndizi, viazi.
Nilijaribu mwisho nikanyoosha mikono nikaone isiwe tabu ntakuwa mwanaume wa zenj vyakula nanunua mwenyewe utaambulia pesa ya kutumia kwa matumizi yako tu.
vipi imefanikiwa formula hii
 
Break fast -
Lunch - sometimes yes sometimes no
Dinner- 3000
Vocher- 2000
 
Laki 1 kwa siku. Mara moja moja nikiwa na nafasi nanunua mchele au samaki naweka kwenye friji wa kutosha wiki 2 au 3 ila sio lazima. Umeme na maji pembeni na DStv
...Kwa hiyo Milioni Tatu Kwa Mwezi, Mkuu Kambaku?...
 
Back
Top Bottom