Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafutwa ada 70,000 inakuja michango ya shule 300,000.
Angeacha ada halafu afute michango.
Viongozi wa nchi hii sijui kwa nini akili zao huwaga nusu hazifikagi zikawa nzima zikawaza kwa mapana na marefu. Mlituambia kwamba watoto wengi huacha shule kwa kukosa ada tukasema ewaaah! Kwa kuwa ada ya o level ilikuwa ni 20000 kwa mwaka ni kweli Kuna wazazi hawana uwezo wa kulipa pesa hiyo. Lakini cha ajabu ni kwamba kama mzazi hana uwezo wa kulipa 20000 tu kwa mwaka na Advance saizi mmesema mnafuta ambapo ada ni 70000 pamoja na Karo, je nimiujiza gani huyu mzazi akapata uwezo wa kulipa ada ya million moja mpaka mbili ya chuo kikuu ili mwanae asome.
Shida inakuja hapo mnapenda kupigiwa makofi hamjui kuwa mnaruka mikojo na kukanyaga Mavi, yani mtoto anakuja chuo kikuu hapati mkopo mwingine mnampa 50%halafu hiyo laki 7 au 8 yakujazia anaitoa wapi ilihali mlibwatuka kuwa Kuna wazazi hawana uwezo wa kulipa elfu ishirini kwa mwaka. Halafu oooh anaupiga mwingi, labda upupu!
View attachment 2260729
Vipi na Bajeti ya Loan Board imeongezeka?
Taja shule ya serikali yenye mchango wa laki tatu. Usiwe too negative.Inafutwa ada 70,000 inakuja michango ya shule 300,000.
Angeacha ada halafu afute michango.
Jana nilipoona tu Watanzania wanashangilia kuondollewa Ada Kidato cha 5 na 6 nilijua tayari Mapopoma tumeshapatikana.hahahahaha.., daaaadeki..., tuache kukopa jamani...
Yaani unashangilia Ada ya Kidato cha 5 na 6 Kutolewa wakati Kwingineko Umebanwa na Unakamuliwa vilivyo? Watanzania sijui ni nani ameturoga / amewarogeni hakyanani.Hilo la kufuta ada kidato cha 5&6 liko poa ila hilo lingine la Ving"amuzi lina ukichaa
Hujanielewa ndugu.Yaani unashangilia Ada ya Kidato cha 5 na 6 Kutolewa wakati Kwingineko Umebanwa na Unakamuliwa vilivyo? Watanzania sijui ni nani ameturoga / amewarogeni hakyanani.
PhD's ( Doctorates ) nilizokuwa nikiziheshimu kwa Watanzania ni zile za kutokea Uhuru wa Tanzania mpaka mwaka 2000 ila za kuanzia mwaka 2001 hadi leo wa 2022 si tu kuwa siziamini lakini pia huwa nawadharau mno wale Wote wenye nazo kwakuwa kama Mimi mwenye 'tudigrii' twangu tu hutu twa SAUT ( kwa mwaka 2009 ) nawazidi katika kuwa Logical kwa Masuala mbalimbali Faida ya wap kuwa nazo ni nini au ipi?Huyu lameku ni daktari ama mganga?
Jamaa wanachofanya ni kuhamisha Magoli tu."Napendekeza Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Kuanzisha utaratibu wa kutoza ada ya shilingi 1,000 hadi 3,000 kwenye ada ya matumizi ya king’amuzi kulingana na kiwango cha matumizi" -
@mwigulunchemba1 Waziri wa Fedha na Mipango.
Chanzo: Dar Mpya Blog
Mkimaliza Kushangilia la Kidato cha 5 na 6 kufutiwa Ada zao rudini sasa mshangilie ha hili kwani nalo ni zuri kabisa tu.