GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hivi kwanini baadhi yenu JF Members pale ikitokea tu GENTAMYCINE nimeanzisha Mada ya Kukosoa au kutoonyesha Kukubaliana na Jambo fulani huwa mnakuja ( mnakimbilia ) hapa kusema kuwa mnanitafuta PM na kwamba sipatikani? Kwahiyo mnataka nije huko PM ili mnitumie vizuri SUMU ya Kuniwahisha Udongoni Kijijini Kwetu Uzanakini Mkoani Mara ( Musoma ) au?Popoma pm yako umefunga mkuu
PM yangu nimeifunga na sitoifungua ng'o na kama kuna Jambo mnataka kuniambia tafadhali muwe mnasema hapa tu.