Bajeti yapendekeza Elimu ya kidato cha tano na sita kutolewa bure

Bajeti yapendekeza Elimu ya kidato cha tano na sita kutolewa bure

Popoma pm yako umefunga mkuu
Hivi kwanini baadhi yenu JF Members pale ikitokea tu GENTAMYCINE nimeanzisha Mada ya Kukosoa au kutoonyesha Kukubaliana na Jambo fulani huwa mnakuja ( mnakimbilia ) hapa kusema kuwa mnanitafuta PM na kwamba sipatikani? Kwahiyo mnataka nije huko PM ili mnitumie vizuri SUMU ya Kuniwahisha Udongoni Kijijini Kwetu Uzanakini Mkoani Mara ( Musoma ) au?

PM yangu nimeifunga na sitoifungua ng'o na kama kuna Jambo mnataka kuniambia tafadhali muwe mnasema hapa tu.
 
Jana nilipoona tu Watanzania wanashangilia kuondollewa Ada Kidato cha 5 na 6 nilijua tayari Mapopoma tumeshapatikana.
wote waliokuwemo mule Bungeni kushangilia hakuna anayesomesha mwanaye Kayumba FC.
Sifa ya Kayumba FC.
Walimu hoi kipato kiduchu, Maisha ya kubahatisha kwa vikoba
Miundombinu ya shule ni duni - Vyoo hali mbaya
Vitabu, maabala duni
Mabweni hakuna watoto wa kike ni mimba kwa kwenda mbele

Elimu oyeee !!
 
Anayejua tunakoelekea naomba anijulishe,nilikuwa nje ya nchi nimerudi asubuhi ya Leo.
Mbona tunapelekwa Kuzuri sana tu Mkuu wangu? Huoni hapo Watoto wetu tunaowazaa kama Sungura wakifika Kidato cha 5 na 6 hawatolipa Ada halafu hata katika Ving'amuzi pia wameshatupendelea na sasa tutakuwa tunaangalia kwa Kulipia tu kwa Kadri utakavyo? Tumetoka Misri na sasa tunapelekwa Israeli kuwa Mvumilivu.
 
Hivi kwanini baadhi yenu JF Members pale ikitokea tu GENTAMYCINE nimeanzisha Mada ya Kukosoa au kutoonyesha Kukubaliana na Jambo fulani huwa mnakuja ( mnakimbilia ) hapa kusema kuwa mnanitafuta PM na kwamba sipatikani? Kwahiyo mnataka nije huko PM ili mnitumie vizuri SUMU ya Kuniwahisha Udongoni Kijijini Kwetu Uzanakini Mkoani Mara ( Musoma ) au?

PM yangu nimeifunga na sitoifungua ng'o na kama kuna Jambo mnataka kuniambia tafadhali muwe mnasema hapa tu.
Mkuu nitofauti na siasa..wala mimi sina hata hobby za siasa...ni kuhusu sports..ila ni issue private
 
Napendekeza ada iwe laki moja lakini kusiwe na michango mingine na wasio na uwezo watambuliwe wasome bure
 
Watoto wanapata mimba sababu hakuna mabweni; walimu wanahaha kila kukicha mikopo mishaharaduni; makazi ya walimu duni kabisa
Vyumba vya madarasa majanga, miundo binu ya vyoo na maji hakuna
Vitabu ...

Afu unafuta ada... Msichezee elimu nyie watu

Ningekuelewa kama unafuta ada huku hayo hapo juu yote yamekuwa addressed.
Jamaa wanataka kuzalisha vilaza wengi sn
 
Mimi naamini hakuna elimi ya bure; haya mambo ya siasa ni kuwafubaza akili wananchi.

Wote wanapiga makofi Bungeni hapo hakuna mtu anasomesha haya mashule yenu ya bure bure, watoto wao wanaandaliwa kwa elimu bora kabisa.

Mimi nakubali kulipa 5m kwa mwaka walau sababu najua hakuna elimu ya bure Africa.

Siasa ni kitu kibqya mno hasa hizi siasa za watu walewale, mawazo yaleyale kuwapangia mambo yaleyale miaka nenda rudi.

Haya somesha mwanao kayumba hadi form Six afu utapata majibu yake, tena tunaomba usife mapema ili ushuhudie mwanao akihaha kutafuta kibarua..akiishia kuwa bodaboda, dereva ama mlinzi.
Upo sahihi kabisa
 
Wahenga mnamkumbuka vizuri katika Utawala wa mwalimu Nyerere Elimu ilikuwa bure kuanzia Darasa la Kwanza hadi Chuo Kikuu

Dr Mwigullu kanyaga twende tutafika tu

Mungu wa mbinguni mbariki Dr Mwigullu
 
Wahenga mnamkumbuka vizuri katika Utawala wa mwalimu Nyerere Elimu ilikuwa bure kuanzia Darasa la Kwanza hadi Chuo Kikuu

Dr Mwigullu kanyaga twende tutafika tu

Mungu wa mbinguni mbariki Dr Mwigullu
Swali ni kwamba wa ngapi walifanikisha hiyo elimu ya juu?
 
Taja shule ya serikali yenye mchango wa laki tatu. Usiwe too negative.

Wanaopekwa mikoani mpaka agile uko mzazi Una gharamika sio chini ya laki 6 kama hujui sasa..
Hiyo laki 3 labda kma unakaa dar hPa hapa hiyo michango ipo kweli
 
Back
Top Bottom