GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hivi kwanini baadhi yenu JF Members pale ikitokea tu GENTAMYCINE nimeanzisha Mada ya Kukosoa au kutoonyesha Kukubaliana na Jambo fulani huwa mnakuja ( mnakimbilia ) hapa kusema kuwa mnanitafuta PM na kwamba sipatikani? Kwahiyo mnataka nije huko PM ili mnitumie vizuri SUMU ya Kuniwahisha Udongoni Kijijini Kwetu Uzanakini Mkoani Mara ( Musoma ) au?Popoma pm yako umefunga mkuu
Kwakuwa wameshajua kuwa Wapumbavu ( Mapopoma ) tupo wengi Mkuu na kwakweli wamefanikiwa kwa sana Mkuu.Jamaa wanachofanya ni kuhamisha Magoli tu.
Tumepigwa aisee hii serikali inayosema deni ni himilivu kuendelea kukopa na kutujazia mitozo kila kona hadi kodi ya kichwa sio poa.Yaani unashangilia Ada ya Kidato cha 5 na 6 Kutolewa wakati Kwingineko Umebanwa na Unakamuliwa vilivyo? Watanzania sijui ni nani ameturoga / amewarogeni hakyanani.
wote waliokuwemo mule Bungeni kushangilia hakuna anayesomesha mwanaye Kayumba FC.Jana nilipoona tu Watanzania wanashangilia kuondollewa Ada Kidato cha 5 na 6 nilijua tayari Mapopoma tumeshapatikana.
Mbona tunapelekwa Kuzuri sana tu Mkuu wangu? Huoni hapo Watoto wetu tunaowazaa kama Sungura wakifika Kidato cha 5 na 6 hawatolipa Ada halafu hata katika Ving'amuzi pia wameshatupendelea na sasa tutakuwa tunaangalia kwa Kulipia tu kwa Kadri utakavyo? Tumetoka Misri na sasa tunapelekwa Israeli kuwa Mvumilivu.Anayejua tunakoelekea naomba anijulishe,nilikuwa nje ya nchi nimerudi asubuhi ya Leo.
Mkuu nitofauti na siasa..wala mimi sina hata hobby za siasa...ni kuhusu sports..ila ni issue privateHivi kwanini baadhi yenu JF Members pale ikitokea tu GENTAMYCINE nimeanzisha Mada ya Kukosoa au kutoonyesha Kukubaliana na Jambo fulani huwa mnakuja ( mnakimbilia ) hapa kusema kuwa mnanitafuta PM na kwamba sipatikani? Kwahiyo mnataka nije huko PM ili mnitumie vizuri SUMU ya Kuniwahisha Udongoni Kijijini Kwetu Uzanakini Mkoani Mara ( Musoma ) au?
PM yangu nimeifunga na sitoifungua ng'o na kama kuna Jambo mnataka kuniambia tafadhali muwe mnasema hapa tu.
Hapo uliposema tu neno "Private" ndiyo umenitisha kabisa ni siifungui tena Mkuu.Mkuu nitofauti na siasa..wala mimi sina hata hobby za siasa...ni kuhusu sports..ila ni issue private
Ni suala ambalo siwez kuulizia hapa ...it's just informationHapo uliposema tu neno "Private" ndiyo umenitisha kabisa ni siifungui tena Mkuu.
Ngoja Kwanza nimuulize Mungu Baba.Ni suala ambalo siwez kuulizia hapa ...it's just information
Jamaa wanataka kuzalisha vilaza wengi snWatoto wanapata mimba sababu hakuna mabweni; walimu wanahaha kila kukicha mikopo mishaharaduni; makazi ya walimu duni kabisa
Vyumba vya madarasa majanga, miundo binu ya vyoo na maji hakuna
Vitabu ...
Afu unafuta ada... Msichezee elimu nyie watu
Ningekuelewa kama unafuta ada huku hayo hapo juu yote yamekuwa addressed.
Upo sahihi kabisaMimi naamini hakuna elimi ya bure; haya mambo ya siasa ni kuwafubaza akili wananchi.
Wote wanapiga makofi Bungeni hapo hakuna mtu anasomesha haya mashule yenu ya bure bure, watoto wao wanaandaliwa kwa elimu bora kabisa.
Mimi nakubali kulipa 5m kwa mwaka walau sababu najua hakuna elimu ya bure Africa.
Siasa ni kitu kibqya mno hasa hizi siasa za watu walewale, mawazo yaleyale kuwapangia mambo yaleyale miaka nenda rudi.
Haya somesha mwanao kayumba hadi form Six afu utapata majibu yake, tena tunaomba usife mapema ili ushuhudie mwanao akihaha kutafuta kibarua..akiishia kuwa bodaboda, dereva ama mlinzi.
SawaNgoja Kwanza nimuulize Mungu Baba.
Swali ni kwamba wa ngapi walifanikisha hiyo elimu ya juu?Wahenga mnamkumbuka vizuri katika Utawala wa mwalimu Nyerere Elimu ilikuwa bure kuanzia Darasa la Kwanza hadi Chuo Kikuu
Dr Mwigullu kanyaga twende tutafika tu
Mungu wa mbinguni mbariki Dr Mwigullu
Taja shule ya serikali yenye mchango wa laki tatu. Usiwe too negative.
wazuiye na vimichango vya mitihadi darasa la4.Ningekuwa rahisi ningefuta michango