Mgogo mangaYeye ni mpogolo?
Naunga mkono ππBakhresa ana mizigo mingi ya kusafirisha, ana uwezo wa kununua vichwa vyake vya treni na mabehewa yake, akawa analipia kutumia reli tu.
Mtu ambaye haaminiki na anaweza kuwa tapeli ni MoDewji tu, serikali imuangalie kwa makini, hata simba anataka kufanya utapeli.
Sio rahisi kama unavyowaza wewe mzee ila Kuna watu wanaitwa karabashi freight hao wapo tazara wanatumia reli mpk inasema kama wale wangechukua sgr ingekuwa jambo zuri maana tazara ukilitimba umezidi maninaBakhresa ana mizigo mingi ya kusafirisha, ana uwezo wa kununua vichwa vyake vya treni na mabehewa yake, akawa analipia kutumia reli tu.
Mtu ambaye haaminiki na anaweza kuwa tapeli ni MoDewji tu, serikali imuangalie kwa makini, hata simba anataka kufanya utapeli.
Siyo huduma tu peke yake pia nauli iwe affordableMuhimu huduma ipatikane, wazawa halisi wako wangapi
nashauri na mzungu mmoja awepo, au la, mpeni lote bakharesa. huyo ndo namwamini.Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
View attachment 3020941View attachment 3020943
unakata tiketi online kipengele kinakuja ktk kuprint tiketi shida namba moja hiyo hapoKwani Serikali imeshindwa nini mbona imeweka pesa nyingi sana?
LuhagaMmoja tu kutoka ccm asimame athibitishe kwamba yeye ni msomi, anauchungu na nchi pia anaweza kuitoa nchi hapa ilipo na kuipeleka kwenye maendeleo ni nani nauliza?
Hayupo hata mmoja, walioko huko wote wanawaza ni namna ipi wafanye ili wapate nafasi ya kuiba na kulihujumu taifa
Ni vema ukayafahamu haya mapema kwa faida yako
Bali wadau wengi wanajiuliza kwamba ni kitu gani ambacho Serikali ya Tanzania inaweza kufanya, maana unaambiwa ni afadhali hata mtoto mwenye Polio waweza kumpa Magongo akatembea mwenyewe
View attachment 3020941View attachment 3020943