chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Bakhresa ana mizigo mingi ya kusafirisha, ana uwezo wa kununua vichwa vyake vya treni na mabehewa yake, akawa analipia kutumia reli tu.
Mtu ambaye haaminiki na anaweza kuwa tapeli ni MoDewji tu, serikali imuangalie kwa makini, hata simba anataka kufanya utapeli.
Mtu ambaye haaminiki na anaweza kuwa tapeli ni MoDewji tu, serikali imuangalie kwa makini, hata simba anataka kufanya utapeli.