BAKWATA mnayajua mateso ya mwanamke akiolewa katika umri mdogo?

BAKWATA mnayajua mateso ya mwanamke akiolewa katika umri mdogo?

Serikali yako inaruhusu ndoa na binti wa miaka 14 kwa kibali Cha mahakama,nimekuuliza kwa nini Binti anavunja ungo!?..maana yake nini!?..kwa nini hakuwa na mavuzi na manyonyo kabla!?
Unarudiarudia swali kwani haujui kusoma nilichokiandika au reasoning yako ni mbovu?
 
Hata unachoongea halieleweki



Hivi ww unasema huyo mtoto je umefanya tathmini mabinti wanaopata mimba na kuzaa majumbani wana umri gani?
Huelewi nilichokiandika kwa sababu upo kiushabiki na hautaki kuelewa.Halafu,kupata mimba majumbani mwenu siyo uhalalisho wa kumuozesha mapema katika umri mdogo.Unamsukumia nani majukumu iwapo wewe na nyumba yako mmeshindwa kumlea mtoto kwa maadili mema na kumdhibiti?
 
Ndio maana ushoga unazidi vijana waoane kijana akishavunja ungo sio mtoto, msichana akishavunja ungo sio mtoto.

Kulingana na imani za dini hatuwezi kufuata matakwa ya ulimwengu bali imani zetu haijalishi nani hapendi kwani dini haipo kumfurahisha mtu yeyote yule.

Hata ukristo hauna umri wa kusema eti miaka 16 ni mtoto miaka 14 ni mtoto. Akishavunja ungo ni mtu mzima tayari . Hivyo ana haki ya kujiamulia , muhimu asilazimishwe.
Nioze binti yako mkuu,kama ameshavunja ungo.
 
ndio maana tunashauri seriklai iangalie namna ya kuwasaidia wapate ujuzi, mambo ya kutaka kuoa watoto acheni huu upuuzi. kama unampenda mpeleke VETA hata mtaani kuna mafundi wanaoweza kuwafundisha kw agharama ndogo kama ushonaji wa nguo, kudarizi, kutengeza bidhaa mbalimbali, kupika,kupamba,kuchomelea, kuskimu n.k
'gharama ndogo' ni relative,ndogo kiasi gani!?..anaimudu!?...hapo serikali ifanye elimu ya sekondari ni lazima,ule mpango wao wa kufuta darasa la Saba na watoto waingie sekondari utaondoa hili tatizo,lakini kwa Sasa Kuna 14+ wengi sana mtaani,na watu wazima Kama wewe wanazini nao walau kwa kuwapaka mafuta kwa kuanzia
 
'gharama ndogo' ni relative,ndogo kiasi gani!?..anaimudu!?...hapo serikali ifanye elimu ya sekondari ni lazima,ule mpango wao wa kufuta darasa la Saba na watoto waingie sekondari utaondoa hili tatizo,lakini kwa Sasa Kuna 14+ wengi sana mtaani,na watu wazima Kama wewe wanazini nao walau kwa kuwapaka mafuta kwa kuanzia
hahaha Mzee nitake radhi mm nakula na k jelly?
 
Wakati Dunia ikiwa inaendelea kupigana vita ili kumuokoa mtoto wa kike kutoka kwenye kitanzi cha ndoa za utotoni BAKATWA wamemekuja na kauli yao ya kupinga kuondolea kwa sheria ya ndoa inayoruhusu mtoto wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi wake.
Wazungu washakubadilisha akili wewe. Sio kila kinacholetwa na wazungu ni kizuri. Kuna madhara makubwa mtoto wa kike akiachwa ahangaike kuliko akiolewa mapema. Hem angalia maadili ya dunia yalivyoporomoka. Mababu zetu walivyokuwa wakiwachunga wanawake hawakuwa wapumbavu. Walikuwa wanaelewa madhara ya mwanamke kwenye kuibadilisha jamii.
 
kutoka nje ya mstari ndio kunawafanya hata mletewe hizi sera za LGBTQ sasa.

Huku mitaani vimejazana vibinti vya under 15 mpaka 20yrs vikahaba vilivyokubuhu. Mbona hatuwasaidii sasa hawa mabinti kwakuwapa ajira au mitaji? mabinti yatima wa umri huo wamejazana mitaani mbona hatuwapi mitaji na ajira wala misaada ya kusoma.? ila kuolewa ndio tunaona shida?
Kwani unadhani hawajui au hawaoni. Wanashuhudia kinachoendelea ila wanataka jamii iharibikiwe zaidi watoto wakike watange mitaani wawatumie kukidhi haja zao wawatelekeze. Mtoa mada asijifanye ana akili nyingi. Akili zenyewe za kushikiwa na wazungu
 
Aliyembebesha Maria mamawa Yesu mimba akiwa na miaka kumi na tatu tena bikra unadhani ni kichaa?
Joseph mume wake alikuwa na miaka 84,kuna cha kujifunza hapa?
Kwenye biblia ni mstari upi unasema alikua na miaka 12
 
Mama wa yesu kristo alibeba mimba akiwa na miaka 12.

Acheni siasa kweny mambo ya msingi bint akisha balehe kifuatacho ni ndoa tu kama ataridhia yeye mwenywe kuolewa.

Binafsi siwezi kuowa bint wa abave 16 yrs.
Onyesha mstari wa biblia unaosema bikira mariamu aliolewa akiwa na miaka 12
 
Aliyembebesha Maria mamawa Yesu mimba akiwa na miaka kumi na tatu tena bikra unadhani ni kichaa?
Joseph mume wake alikuwa na miaka 84,kuna cha kujifunza hapa?
Onyesha mstari wa biblia unaosema mariam alikua na miaka 12 alipobeba mimba kama sio uongo na uzushi
 
Ki ujumla maadili kwa sasa yameporomoka mno!!!udhibiti wa tabia haupo,haki sawa imefanya jamii kuwa kituko haswaa,mambo ni shagalabagala!...
 
Ki ujumla maadili kwa sasa yameporomoka mno!!!udhibiti wa tabia haupo,haki sawa imefanya jamii kuwa kituko haswaa,mambo ni shagalabagala!...
Haswaa. Tunakiuka asili na kujifanya tuna usasa. Kumpa mwanamke cheo cha mwanamme, madhara yake ndo tunayaona sasa na bado tutayaona zaidi. Don't mess with nature
 
Yaani mimi kabisa nikubali janaume lije lioe binti yangu wa miaka 14, naumwa kichaa kisicho na ahueni, anaa au anabaka? Sure njoo tutaongea ila sauti yangu utaisikia kwa panga tukagawane majengo ya serikali, maana kuja tu na hiyo hoja utakuwa umenikosea sana. Niache kumpa nafasi atafute karama yake aliyopewa na Mungu eti nimkabidhi kwa pedophile fulani mwenye tamaa ya ngono. Hivi binti wa miaka chini ya 20 unaongea naye nini cha mana zaidi ya kuvutiwa na viungo vyake vichanga? Uwepo wa hizi ndoa lawama ni kwa wazazi na walezi, wala hata hatuhitaji sijui sheria ziweke zuio, mwenye utimamu wa akili hawezi hata kuweka hili suala liwe mjadala, tunaweka hii mijadla kwakuwa kuna wenye matatizo ya utimamu wa akili.
 
Back
Top Bottom