Nani alikudanganya kuna "elimu ahera"?Elimu ahera ni muhimu kiliko elimu dunia. Wana faida na hilo, kipozeo anaita mizigo
Naam, ma shaa Allah. Unaongelea Bi Aisha, msomi wa Uislam moja jwa moja kutoka kwa Mtume Muhammad, aliyetuachia mafunzo mengi sana ya Uislam tunayoyajuwa leo hii.Hata mtume alioa katoto ka 9years...sasa wao ni nani wakatae 🤣🤣
Ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni, hv mkuu unawajua wanafunzi wa sikuhizi ?, samahani lakini hv ushawaona wanafunzi wa shule zetu hz za kata ?, acha kabisa mkuu kama watoto waliosalimika ni wachache mno, fanya reserch ya watoto wa kata hzo gari zao ni shida tupu , full mziki na bila mziki mkubwa gari hawapandi tena nyimbo zao ni singeli na full kupakatana nao wengine wa kiume asilimia kubwa wanakula nauli kazi yao kukaa stendi na kuomba lift , shenz kabisaaaMtoto wa dada yako unataka awe reference kwa watoto wengine kuwa wote wapo hivyo?
Malezi mabovu ndio yamepelekea mtoto wa dada yako apewe mimba.
kinyime chake nyie hampendi watu kufunga ndoa yaani in short muna encourage zinaa , stop huko uliko sija kutukana bali nimefanya vaisi vesaHii kitu cjawah kuona ikifanywa na Wakristo, Waislamu nyie mna matatizo ya akili.
Ongea kwa lugha ya heshima kuhusu mtume Muhammad salla Allahu alayhi wasalaam.kama mtume mwenyewe alikuwa anakula vibinti kwao ni kawaida tu, wamezoea kula ndama.
Sasa hilo mkuu hawqtaki kulikubali lakini ndio ukweli wenyewe mzigo unarudi tena kwa familia , hii ni shida kubwa snaNi kweli wote wanaomaliza la Saba(miaka 14) huendelea na masomo!?..wanaokwama kusoma wafanyeje!?..wapate uzoefu wa ngono mitaani mpaka watapofika miaka 18!?
Nimekuita mpumbavu kwa sababu umeingiza dini na ndio maana nimekuelimisha kuwa ni kwa mujibu wa sheria za tz na sio dini.Wee ndio mpumbavu, Sasa hata kama ni bado sheria ya TZ .
Una mtoto wakike wa miaka 14 ??
Wewe hao TEC kuna mwenye mke paleWakati TEC Wanapendekeza Viongozi waondolewe Kinga ya kutoshitakiwa, yaani wote tuwe Sawa Mbele ya sheria, Hawa wenzetu wanapendekeza watoto wa miaka 11, 12 ,13 ,14 waruhusiwe kuolewa, kupanga ni kuchagua ......
Tunasikia masheikh wanalisema hilo! Meaning kuwa elimu ya kukupeleka kwa mola ni muhimu kuliko physicsNani alikudanganya kuna "elimu ahera"?
Elimu zite ni kwa manufaa ya maisha yako ya duniani, ahera ama moto ama pepo.
Acha ujinga wewe, inshu ya kuliwa ni nyingine kabisa tofauti na uwajibikaji wa Mke na ukomavu wa akili za maisha ya NDOA.Ila binti huyo analiwa na bodaboda
Mpumbavu wwkinyime chake nyie hampendi watu kufunga ndoa yaani in short muna encourage zinaa , stop huko uliko sija kutukana bali nimefanya vaisi vesa
Wakati TEC wanazungumzia mambo mazito ya kitaifa, ao ndugu zetu wanaomba serikali iruhusu watoto waolewe[emoji2][emoji2][emoji2] hili linahitaji ufafanuz asee naona linazungumziwa sana