BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Ndiyo maana mimi mpaka hivi leo japo nimezaliwa familia yenye dini nakua na mashaka sana na masuala ya dini.
Nimejitanabaisha kama secular-theist.
Japo jambo zuri la dini yoyote huwa nasifia na kukosoa panapostahili, kwa hili hizo mbuzi za Bakwata zijitathmini. Ubinafsi ulioje!
 
“Sisi Waislamu tunaamini mtoto wa kike akishavunja ungo anaruhusiwa kuolewa, nami naruhusiwa kuoa haijalishi nina miaka 10, 12 au 13,” ameeleza Fatihu.

Ameongeza kuwa sheria ya mtoto inaeleza kuwa mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 ni mtoto, na kwamba sheria ya ndoa imeruhusu mtoto kuanzia umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya mahakama ambapo itaangalia vitu vingi ili kuruhusu ndoa hiyo ikiwa ni pamoja na afya ya mtoto, mila na tamaduni za jamii husika.
Wanaharakati wakilivalia njuga hili kitanuka
 
Tuko mwaka 2023, Bakwata wanaishi mwaka 1991.

Waozeni watoto wenu wenye miaka 14 ili wakifika miaka 18 wawe wameshaachika na wana watoto wawili, akiachika mwangalizie wa kumuoa tena akifika miaka 23 na ameongeza watoto wawili tena aachike, mumtafutie wa kumuoa tena akifika miaka 26 awe ameshaachika na ana watoto sita, hana elimu, hana ujuzi, hana kazi halafu mrudi hapa tujadili.
 
Baraza kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) lapendekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri wa mahakama kisiondolewe.
20230324_141726.jpg



Wadau mbali mbali watoa maoni yao juu ya hilo wengi wakiguswa kuwa umri huo yapasa mtoto awepo shule,wengine wakienda mbali wakisema ni sheikh/mufti gani/nani ameruhusu mwanae kuolewa na miaka 9 kama dini inavyosema!

Wengi wakisema lazima kutazama mazingira/nyakati/wakati/zama..katika kuliendea jambo hilo bila kugubikwa na mihemko ya kidini au imani!


View attachment 2563831View attachment 2563832
 
Utakuta mtu msomi kama Prof Assad na yeye anaunga mkono huu upuuzi, ila yeye mabinti zake, mpaka wa umri wa miaka 30 wapo nyumbani au wanajitegemea na mzazi Wala hawakazimishi kuolewa, anawapa msaada wajikuze kielimu na kifedha.

Hizi sheria za bakwata ni kwa mabinti wa familia choka mbaya tu,Ili kuvipiga pipe vibinti vyao,visivyo na akili, vinawekwa ndani, kazi yao ni kuoga, kupika, kujiremba na kutembezewa rungu tu! na akikutana na Basha kama mie, mpaka msambwanda unaliwa
Well, you nailed it brother!
 
Miaka 14 vinafanya ngono zamani sana.
kwa hiyo viendelee kungonoka ila kuolewa ndio Nyeti!
Ni wapi pamesemwa kwamba waendelee kungonoka? Such a mere reasoning to justify child marriage.
Hizi ni sheria za kishenzi kwa watoto wa maskini na kuendelea kuzalisha taifa la watu mizigo wasio na tija kwa taifa.
Waislam wengi wamekosoa huu upuuzi.
Muislam anayeunga huu ujinga namuona ni mshenzi tu.
 
Kwani mnaangalia kama kaenda seckondari au la..!!??? Nyie kigezo ni umri. Yaani mnaweza hata kumuachisha shule kisa akaolewe..!!
Nimekuuliza ikiwa wote huenda sekondari!?..Kama laa Hawa wanaobaki waolewe wakiwa na umri gani na Kwa nini!?..acha kuandika Kama unapungwa shetani
 
Faida pekee ya mtoto wa 14 yrs kuolewa ni MWANAUME AFAIDI TUNDA LIKIWA BADO CHANGA.

Kama naliona dushe la huyo mwanasheria lilivyosimama wkt anashauri hayo huku akiwaza utamu atakaoupata kwa miaka michache huku akipuuzia madhara makubwa na ya kudumu yanayokwenda kumpata msichana huyo miaka michache ijayo.

Binti huyo akifikisha miaka 20 mumewe ustaadh atakua keshamchoka,anamuona mzee na atamtaliki akiwa na urithi wa vitoto na labda FISTULA huku akiwa hana elimu wala ujuzi wowote zaid ya ule wa kupika na kumkatia viuno ustaadh.

Wakati huo ustaadh keshaoa 14 yrs pussy nyingine hataki kusikia cha watoto wanaumwa wala wanahitaji daftari.

HUU NI UKATILI UPINGWE
 
Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.

Aisee...inasikitisha sana.
Huyo mwanasheria usikute ni mwanamke, amesubiria mpaka asome kisha aje kuwarubuni wengine wakose haki ya msingi ya kupata elimu.

Huo ni ubinafsi
 
Kama haendelei na sekondari si aende kujifunza stadi za maisha kama kushona nguo n.k?

Kwa nini mnatetea ujinga nyie watu?
Yaani mnataka watoto waolewe????
Siyo mwamba hawapo,wapo na hawaendi kujifunza stadi za maisha Kama ufundi kwa kuwa Kuna gharama zake na hawawezi zimudu,huyu akitokea mtu anataka kumuoa akatazww na Sheria!?..kusubiri apate uzoefu wa kumuhudumua mwanaume kwanza au!?
 
Back
Top Bottom