Atakayeolewa mipaka 14 hayupo shule mzee,wa shuleni haoleki kwa mujibu wa Sheria,je mabinti wote tz wenye miaka 14+huwa wapo shule!?..Kama hawapo hufanya nini mtaani,hawaleti watoto wa mitaani!?Huyo mwanasheria usikute ni mwanamke, amesubiria mpaka asome kisha aje kuwarubuni wengine wakose haki ya msingi ya kupata elimu.
Huo ni ubinafsi