Atakayeolewa mipaka 14 hayupo shule mzee,wa shuleni haoleki kwa mujibu wa Sheria,je mabinti wote tz wenye miaka 14+huwa wapo shule!?..Kama hawapo hufanya nini mtaani,hawaleti watoto wa mitaani!?Huyo mwanasheria usikute ni mwanamke, amesubiria mpaka asome kisha aje kuwarubuni wengine wakose haki ya msingi ya kupata elimu.
Huo ni ubinafsi
Mfano kwenye QUR'AN kipi hakipaswi kufuatwa!?Kuna badhi ya vitu ndani ya Quran na Biblia havipaswi kufatwa.
Sasa mtoto wa miak 12 bado ni mwanafunzi, hata elimu ya sekondari hajamaliza huo ulezbian anaanzia wapiWanaume wenyewe hakuna, mmoja katika ishirini. Akitokea ndiye yeye huyo. Mnataka kuwafuga watoto wa kike wawe Lesbians? Tena iwekwe sheria, aolewe na aendelee kusoma.
Sasa si nikuruhusu wanafunzi waache shule!!!Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Chanzo: Mwananchi
Halafu wanazaa na kulea watoto Kama bibi zako walivyofanya,we ulitaka wafanyeje!?..wafanye umalaya mtaani wazae watoto nje ya ndoa wasio na baba muwajibikaji!?..Kisha muwasifu umalaya,wamepinda nkKwa hiyo waolewe? Ndio suluhisho halaf
Mkuu, huyo hawasilishi maoni yake binafsi, anawasilisha maoni ya taasisi anayofanyia kazi. Yaani huo unaouita upumbavu, ujue ni maoni ya BAKWATA.Yaani mtu amesoma sheria mpaka kuwa mwanasheria mkuu wa Bakwata haoni aibu kuongea Upumbavu kama huu...?...anajua mtoto wa miaka 14 alivyo? Kweli ataweza kubeba majukumu ya kuwa mke achilia mbali kuwa mama? Na shule je?.
Aisee...inasikitisha sana.
Nimeona imeandikwa miaka 14,we 12 umetoa wapi!?Sasa mtoto wa miak 12 bado ni mwanafunzi, hata elimu ya sekondari hajamaliza huo ulezbian anaanzia wapi
Kupiga kura ya kumchagua mwenyekiti wa mtaa - uwe na miaka 18 au zaidiBaraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Sawa sawa. Hata huyu Alhaji wa Nigeria majuzi tu kaoa kabint kwa miaka 11Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Huo umri ndiyo watu wakiolewa huko nyuma na ndoa zikadumu,familia ilikua taasisi ya maanaTuko mwaka 2023, Bakwata wanaishi mwaka 1991.
Waozeni watoto wenu wenye miaka 14 ili wakifika miaka 18 wawe wameshaachika na wana watoto wawili, akiachika mwangalizie wa kumuoa tena akifika miaka 23 na ameongeza watoto wawili tena aachike, mumtafutie wa kumuoa tena akifika miaka 26 awe ameshaachika na ana watoto sita, hana elimu, hana kazi halafu mrudi hapa tujadili.
Huo ni umri wa mtoto kuwa shule, haijalishi ana soma au hasomi ila kitachohukumiwa kitaangalia kigezo hicho.Atakayeolewa mipaka 14 hayupo shule mzee,wa shuleni haoleki kwa mujibu wa Sheria,je mabinti wote tz wenye miaka 14+huwa wapo shule!?..Kama hawapo hufanya nini mtaani,hawaleti watoto wa mitaani!?
Ninavyoelewa mapepe ni mtu aliyeshindikana tayari, anagongwa hovyo hovyo.Tema mate chini..
#YNWA
Wanaoenda shule hakuna shida,wasioenda jee!?..watiwe tu mtaani mpaka watapofika 18!?..Huo ni umri wa mtoto kuwa shule, haijalishi ana soma au hasomi ila kitachohukumiwa kitaangalia kigezo hicho.
Mabinti wengine wa umri huo kutokuwa shule hakuhalalishi kwa wengine nao wasiweze kupata haki ya msingi ya kuwa shule.
Na ndio maana serikali inafanya kila jitihada ikiwemo kutoa elimu bure kuwaondolea kuwarahisishia wazazi waweze kuwapeleka watoto wao shule
Vipo vingi, na hiki kikiwemoMfano kwenye QUR'AN kipi hakipaswi kufuatwa!?
hawa wenzetu shida sana 😃Haya ndiyo mahitaji ya msingi sana ya BAKWATA mbele ya tume ya Haki Jinai 😀
Mtaani mzazi ambaye ana mtoto ambaye ana umri wa kwenda shule afu mtoto anashinda tu nyumbani, serikali kupitia ma afisa elimu waliunda operation kabambe ya kamata kamata waliwatia jela hao wazazi wakanyea makasha siku kadhaa kisha waliporudi makwao walikuta watoto wako shule.Wanaoenda shule hakuna shida,wasioenda jee!?..watiwe tu mtaani mpaka watapofika 18!?..
Nadhan ni bora kuendelea kupambana kuushinda unyanyasaji wa kingono kwa hawa watoto kuliko kuona kuruhusu kuolewa kwao ndo kutatua changamotoIla binti huyo analiwa na bodaboda
Akikusikia mzee wangu utaombewa abdadili sio poaKwani mufti ana mwanaye wa kike niwahi jimbo.
Daah kmmk nikahisi utakuja kuongea bonge moja la point kumbe mtume alijipoza kwa binti wa under 10Hii siyo sawa mbona hatufuati sunna za mtume hii 14 imetokea wapi na umri ni 9?