Nakubali sisi Watanzania wengi huwa wavivu wa kufikiria hata jambo liwe dogo kiasi gani, na huo ni ujinga , hivi unasema asiolewe ili hali anafanya machafu na watu wazima wa kila rika?
Hivi kati ya penati na mpira wa kurushwa bora nini?, una sema asiolewe sasa akija kutiwa mimba ndio utaona kila mtu mbaya na kesi juu.
Natoa mfano wa mwisho true story, mume wa dada angu ana mtoto anayepaswa kuanza form1 mwaka huu 2023 , lakini ile desemba tu kakutwa ana mimba na hadi sasa mimba ni kubwa, baba yake ni mkulima tu, mama yake mzazi yupo mbali na hyo dada angu ni mama wa kufikia tu na aliyempa mimba ni mwanafunzi mtoto wa form 2, sasa hebu fikiria hii, mtoto ata mlea nani ?, si bora ange olewa tu