Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa utawaua ufungwe na serikali?Nimewataja kwa maana hii ifuatayo, yeye kasema mtaani kwao kuna mmoja binti mmoja mapepe sana, hivyo ni bora tu aolewe akiwa na umri huo mdogo. Sababu yake kuu ni huo umapepe wa huyo binti. Sasa binafsi nikawaza, kama kuna mashoga mtaani kwake, tuwaache tu waendelee na tuukubali ushoga wao kisa wao wanapenda?
Hawana haja ya kuuluiza mama zao. Kwa dunianilivyi sasa na kwabtunayiyaona Tanzania, wajiulize wao wenyewe, wameanza ngono wakiwa na umri gani?Vijana wanatakiwa wakaulize mama zao waliolewa wakina na umri gani
Wanakwama sana.Vijana waleo wanawaza kupanga maisha na mwanamke badala ya kupanga maisha ili mwanamke afate.
Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam alioa wake 11 wa umri tofauti tofauti.Kwan Mtume Muhammad SAW Alioa binti wa miaka mingapi??
tusitoke njee ya utaratibu wa role model wetu
Hawana akili kama marehemu aliyeoa binti wa miaka 6Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Sijui umetoka kwenye malezi gani lakini mimi malezi niliyolelewa wakati huo wala nilkua sitambui habari za mahusiano katika umri huo,nilikua nasomaUlikuwa mtoto ila Fredy alikuwa anakupelekea moto kama kawa 🤣
Alioa mtoto wa miaka 6 akampiga ubboo akiwa na miaka 9, kwakifupi alibaka.Mtume alioa mtoto wa miaka tisa
Kuna Lucky hapo, siyo "luck".Nilijua una exposure kumbe we kibibi bado mshamba hivo Lucky ni kifupi cha jina Luckson, au huko kwenu kina "son" ni wanawake?
Ina maana hukubaliani na marehemu Nyerere? Maana Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) "limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe".Sikubalian nao kabisa binti wa 14 ni ubakaji wa watoto tena wafungwe maisha.
Watoto wahimizwe kusoma ili kuondoa ujinga kichwan na sio kuwaza waolewe tu ndoa zenyewe ngumu na mateso mtoto atawezaje kuhimili visa vya mama mkwe na wifi kama mimba tatizo tutawekea njiti
Ramadhan Mubarak.Astaghfirullah! mwezi mtufu huu..!
Sikubalian na yeyote kwa hiloIna maana hukubaliani na marehemu Nyerere? Maana Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) "limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe".
Ina maana hiyo sheria ipo toka mwaka 1971.
Au hujaisoma vizuri post namba 1?
Mm nitoe maoni yangu sasa baada ya kusoma badiko hili jana nikapitia paper mbalimbali za maswala ya sheria za ndoa katika nchi mbalimbali duniani.Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.
Ni maoni yako na yanaheshimika. Bakwata nao wana maoni yao yaheshimike.Sikubalian na yeyote kwa hilo
Muhammad alio na miaka 6 akakapiga machine kilipofikisha miaka 9 , kibamia kinaweza kuwa kilihusikaHuwezi muingilia binti wa miaka 9 itaingia vipi sasa.