Huo..mshangao ndio dakika mbili nzima.....?Kenyatta alinyamaza kwa mshangao inakuaje shughuli kubwa Kama Ile serikali ya Tanzania ilishindwa kuzibiti mapema kilichotokea, ilitakiwa waumini waruhusiwe kuendelea na ibada ila kipaza sauti kisitumike mchana ule.
Kwani wewe mwenzetu unamjua huyo aliyefanya hicho kituko cha mwaka cha kuingilia taratibu wa watu na imani yao ibadani? Nitajie ili tumshangae aliwaza nini hadi kufanya hicho kituko cha ajabu?Na mmeshangilia kweli
Hicho cheti ni Fake,cheti halisi huwa na sahii ya mtoa cheti na tarehe
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimesainiwa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
RIP Magufuli.
Sitoshangaa, kwa vile Kenya wamefanya lazima na Tanzania wa Copy and paste. Hili tukio lilitokea Tanzania sasa hao BAKWATA walikuwa wapi?Subiri taarifa ya habari baadae watakuwekea bwashee!
Hicho cheti sio cha kweli, au ulitumiwa wewe Digitaly bila ya kuwa scarned?
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimesainiwa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
RIP Magufuli.
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Basi bi funzo. Tujifunze kuheshimi taratibu na imani za watu kama alivyofanya Kenyatta.Kwani ni wa kuuliza? Si ni mwendazake?
Jambo zuri wamefanya KWA Hili,kenya wanabahati Sana kua na kiongozi wa aina hii
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
RIP Magufuli.
kulikuwa hakuna haja kwa jambo kama hilo. respect earned but si lazima mpaka cheti
huo muda wangetumia kumuandiki barua mheshimiwa rais HASSAN awatoe UAMSHO huko GEREZANI
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
RIP Magufuli.
Vaa viatu vya lissu umiminiwe risasi 38 kisha 16 ziingie mwilini ,uwe kwenye coma kwa siku 5 ,damu zaidi ya 90% ilipotea,ufukuzwe ubunge,usipewe fedha za matibabu kisa "MTU FURANI" kakataa then huyo "MTU FURANI" umuonee huruma wakati alikuwa anataka ufe? Kufichua Ndege kukamatwa ndio usaliti? Dunia kijiji hauwezi kuficha kitu,kuhoji elimu ndio unaua mtu?
A slippery slope to where?Tutafute pia utaratibu kunapokuwa na shughuli za kijamii kama fiesta, mechi ya mpira, gwaride la maadhimisho n.k tuwe tunasitisha kinachoendelea mara tusikiapo adhana.
Kwahiyo kina BASHITE na baba yake waliomminia risasi walikuwa na SONI?
Hahahaaaa...... Nimeipenda hii!Kwani wewe umepungukiwa na nini Rais Kenyatta kupewa hicho cheti? Kwani umechangia hata wino wa kupeint hiyo?
So mkuu mnasema mh lissu alijipiga Marisa's I?acheni hizi, lissu ni shujaa wa afrika, amepigwa Marisas kibao na bado akaludi endesha kimbunga 2020 lissu, na kidogo kiondoke na taulo ya mtu, mh lissu ni simba,binafsi nilimuona KWA mbali wakati anafungua tawi la chadema nzovye mbeya, wakati wa ufungunzi wa kampeni, nikiwa kikazi mbeya mda huo , mwili ulisisimka, yule ni roho inayotembea, mnaomsemea mabaya mtakufa nawambieni , hachana na hii Tabia nawambiaAmemiminiwa risasi na nani? Mbona kwa hilo la risasi hatoi ushirikiano kwa vyombo vya usalama??
Huko twita kunamsadaije.
Halafu hivi Tundu ni muumini wa imani gani? Sababu waanzilishi wa imani zetu ndio role models wetu. Nina uhakika hata anayejidai kumuamini kiimani anaweza kumtukana tuu
Kwa misingi ya imani, mila, desturi na malezi Tundu atabaki kuwa Tundu... namaanisha Tundu lenye kutoa chafu tuu jamii. Binadamu gani asokua na soni jamaniiii kha😐