Kama akili Kama zako sawaMbona kama unateseka? umeumia Eee!
Wenye akili wameona kua kitendo cha Kenyata ni cha kiungwana na kina funzo kubwa la kila imani kuheshimu imani ya wengine,
kama wewe uwezo wako wa kufikiri umekufikisha na kuona kua jambo hilo ni kitu petty basi endelea tu kuwaza hivyo hivyo ila usilazimishe kila mtu awaze kama wewe.
hata ni maswali ya kijinga kweli? issue sio kupungukiwa nn.. issue hapa ni ku overrate mambo madogo wkt tuna major issues hapa nyumbani.Kwani wewe umepungukiwa na nini Rais Kenyatta kupewa hicho cheti? Kwani umechangia hata wino wa kupeint hiyo?
Njaa hizi?Bakwata hii hii iliyosema kuwa Magufuli ni mkuu kuliko Yesu,Mtume Muhamadi na Mungu?
View attachment 1734113
Mtume wake ni yule alieoa mtoto au.Kwani kuitwa kafiri au makafiri ni tusi?
Hiyo ni sifa ya yule aliyemkanusha Mungu na mtume wake ndiye anaitwa kafiri kama huna hiyo sifa wewe si kafiri.
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
RIP Magufuli.
Sisi Wakristo huwa tukiwaambia Waislam kuwa Dini zote mbili zinaangalia kaburi karibu zife na waumin wao wamebaki na majina tu huwa wanabisha sana wakidai kuwa Dini yao inakua na kuenea. Huko nyuma Waislam walitambulika kwa mavazi yao ya Kanzu na Barkashia kwa wanaume na Buibui kwa wanawake wakiswali mara tano kwa siku na kuheshimu sana maiti. Leo ni majina tu yanatofautisha kati ya Waislam na Wakristo wengi wao hata hawajui nyumba za Ibada zilipo, Waislam wanaachana na maadili ya Dini yao ya kuheshimu miili ya wafu, wanaungana na Wakristo kuzunguka Nchi na maiti wakilia bila hata Barkashia. Mufti na Masheikh wake walifika Hospitali kumswalia John Pombe Joseph!
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimesainiwa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
RIP Magufuli.
Mimi mweyewe fatwaTutakuwekea fatwa juu ya kichwa chako kwa kukashifu waislam na uislam
Tatizo la waislamu hawa hawa so called Bakwata ni kujali vitu petty kama hivyo!
View attachment 1734112
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
RIP Magufuli.
I am not part of these petty issues. Hata hapa mtaani kwangu kama kuna kigodoro, ikifika saa ya adhana (whatever you call it) huwa naona wanazima muziki, wanaswali then kigodoro kinadendelea. sasa vyeti vya nini?Kwani hata hiki kilichotokea siyo petty? Mbona pamoja na kuwa petty mnazungusha mikoa na mikoa badala ya kukipeleka moja kwa moja Chato?
Thse are the serious issues to deal with na siyo kutoa vyeti eti amesimaisha hotupa wakati wa adhana!Binafsi sipendi ukimya wao kuhusu kesi ya binaadamu wenzao mashekh ambao kesi yao uchunguzi mpaka wa leo haujakamilika,
Kama Nyerere alitoa msamaha kwa mtuhumiwa baada ya kuombwa na askofu makarious?.. kwa nini na wao hawana huruma na kufanya kama ya askofu?
Mhe.Kenyata aliona bora anyamaze hasishindane na mjinga hasije onekana na yeye ni mjinga.Kenyatta alinyamaza kwa mshangao inakuaje shughuli kubwa Kama Ile serikali ya Tanzania ilishindwa kuzibiti mapema kilichotokea, ilitakiwa waumini waruhusiwe kuendelea na ibada ila kipaza sauti kisitumike mchana ule.
You are indeed part and parcel of petty issues because you have willingly fully involved in those you call petty issues. Kwani wewe inakuuma nini kwa huyo mtu kupewa cheti? Halafu ukute wewe wala siyo Muislamu.I am not part of these petty issues. Hata hapa mtaani kwangu kama kuna kigodoro, ikifika saa ya adhana (whatever you call it) huwa naona wanazima muziki, wanaswali then kigodoro kinadendelea. sasa vyeti vya nini?
Kama unaamini tukio hilo lilitokea, waone Polisi wakuthibitishie kuwa siyo hao na watakutajia wahusika maana tendo lililotokea ni la jinai.Thibitisha kwanza!
Ni heshima kubwa sn kutambua ndini ya watu wengine , kumbuka Uhuru ni mkristo.Kenyatta alinyamaza kupisha kelele za adhana msikitini kwani asingeweza kueleweka ama kusikika vizuri.