Makala josee
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 511
- 447
https://www.facebook.com/Tatizo la hawa wenzetu, "Waislamu", wanapenda sana kuheshimiwa wao na dini.
Lakini, wao ndio wa kwanza kuwaita watu wengine, "makafiri".
Waislamu, acheni unafiki. Na ninyi kuweni na heshima kwa dini za wenzenu.
Uko sahihi sahihi kabisa.Tatizo la hawa wenzetu, "Waislamu", wanapenda sana kuheshimiwa wao na dini.
Lakini, wao ndio wa kwanza kuwaita watu wengine, "makafiri".
Waislamu, acheni unafiki. Na ninyi kuweni na heshima kwa dini za wenzenu.
"Ubaya Ubaya tu" - JPM.Kwa hiyo kwa sababu alimiminiwa risasi hivyo basi hatoweza teleza kwa kila analofanya kwa wale anaodhani wamemkosea? Kwa hiyo yuko sahihi kwenye kila jambo ?
https://www.facebook.com/ la hawa wenzetu, "Waislamu", wanapenda sana kuheshimiwa wao na dini.
Lakini, wao ndio wa kwanza kuwaita watu wengine, "makafiri".
Waislamu, acheni unafiki. Na ninyi kuweni na heshima kwa dini za wenzenu.
Kamuombe Kigogo Twita au Thobias Marandu youtube maana waliuweka.Mkuu weka ushahidi hapa!
Acha mambo ya ajabu. Fiesta isimame kisa azana? Kwani dini ya Kiislamu inaruhusu kucheza na kuhudhuria matamasha ya Bongofleva?
Si ni sawa na kusema madangulo na wahudumu wake wawe wanasitisha huduma pale azana ikilia.
Kwanza haya mambo yanafikaje uko. Dini zote wasimamishe michezo uwanjani kisa kuna Mungu wa imani fulani yuko anaabudiwa muda huo. Tusile kisa kuna watu wamefunga, tusiuze kitimoto, tununue nyama waliyochinja wao. Aisee hebu tusubiri Afande Sele afe kifo kibaya, bado siku ngapi vile...
A slippery slope to where?
Mungu anaabudiwa kwenye nyumba iliyopangwa. Wanaotaka kumwabudu waende huko sio kuingilia matukio mengine yanayoendelea nje.
Wasishirikishwe katika kuabudu watu wasiohusika na ibada.
Na majirani wanaoishi karibu na nyumba hizo, na wao watalazimika kuwa wanaacha shughuli zao kila inapopita sala/adhana?
Serikali ya CCM ndiyo inawatuhumu kwa ugaidiIla wao kuitwa magaidi ni sawa?
.Bakwata hii hii iliyosema kuwa Magufuli ni mkuu kuliko Yesu,Mtume Muhamadi na Mungu?
View attachment 1734113
Hii ni kufru kubwa sana,huyu kiboko yake Mange Kimambi tu.Bakwata hii hii iliyosema kuwa Magufuli ni mkuu kuliko Yesu,Mtume Muhamadi na Mungu?
View attachment 1734113
Kuna wakati najiuliza watu Kama wewe sijui mna mtindio wa ubongo au tatizo Nini?Hicho cheti kiko wapi? Baraza la waislamu la Kenya ndio wamentunukia Uhuru cheti na kimeoneshwa. Sasa sijui wewe ni msemaji wa Bakwata? Angalau ungeliweka ushahisi sio maneno matupu tu
Alifanya jambo la kiuungwana sana
Bakwata imetoa Cheti cha pongezi kwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kitendo chake cha kusitisha hotuba yake wakati wa kumuaga hayati Magufuli ili kuheshimu adhana ya ibada ya adhuhuri.
Cheti hicho kimetolewa na Mufti sheikh mkuu Aboubakar Zubeir.
Pia soma > Kongole Rais Uhuru Kenyatta kwa kuheshimu adhana
RIP Magufuli.
Uliona wapi mshirika na mashoga akawa na Soni?Amemiminiwa risasi na nani? Mbona kwa hilo la risasi hatoi ushirikiano kwa vyombo vya usalama??
Huko twita kunamsadaije.
Halafu hivi Tundu ni muumini wa imani gani? Sababu waanzilishi wa imani zetu ndio role models wetu. Nina uhakika hata anayejidai kumuamini kiimani anaweza kumtukana tuu
Kwa misingi ya imani, mila, desturi na malezi Tundu atabaki kuwa Tundu... namaanisha Tundu lenye kutoa chafu tuu jamii. Binadamu gani asokua na soni jamaniiii kha[emoji52]