Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
No, they're not bootlickers, they're secret spy agents. Take care.Balile amekosa weledi. Hiii tasnia sijui kuna nani walio timamu!! Maana wengi wao ni shida tupu!
Butiku amesema wazi kuwa vyombo vya usalama vinawajua watekaji na wauaji.
Ukitaja kujua tuna wanahabari na vyombo vya habari vya hovyo, tukio la mauaji ya Ali Kibao limeongelewa sana, kwa uwazi na kwa mara nyingi na vyombo vya habari vya nje ya Tanzania kuliko vya humu ndani. Vyombo vya habari vya hapa ndani wanaona kazi yao ni kutangaza tu viongozi wa CCM wamesema nini, hata kama bayo yaliyosemwa hayana maana wala msaada wowote. Vyombo vyote vya habari Tanzania vimeamu kuwa vyombo vya propaganda vya CCM.
Hili jamaa huwa linanikera sana na mashavu yake kama mpulizo wa kondomBalile ni chawa wa mama, apuuzwe tu.
sasa Mzee kaambiwa ataje hayo majina na anachokijua kisha aone kama hao waandishi hawatakuchapisha wewe unaleta mihemko na makasiriko π€£Chawa kama wewe huwezi kuelewa kwani unachoelewa ni kusifia tu.
Pascal Mayalla muonye mwenyekiti wa jukwaa lenu ndugu Balile asijibizane na wazee wake.Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
siu unlock wewe sasa hizo codes tuone kama waandishi hawatazichapisha?Bichwa lako ni empty , unachopaswa ni ku- unlock the codes!
Mzee Butiku Yuko sahihi, waandishi wa habari na media karibu zote wamegeukia uchawa. Ukisoma kurasa zote za mbele ni kusifu na kutukuza rais utadhani ni malaika aliyeshuka. Sijanunua magazeti kwa miaka sasaMwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
Mnatutoa kwenye reliMwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
Unataka Chawa Balile aongee tofauti akose safari za Mama!Balile amekosa weledi. Hiii tasnia sijui kuna nani walio timamu!! Maana wengi wao ni shida tupu!
Butiku amesema wazi kuwa vyombo vya usalama vinawajua watekaji na wauaji.
Ukitaja kujua tuna wanahabari na vyombo vya habari vya hovyo, tukio la mauaji ya Ali Kibao limeongelewa sana, kwa uwazi na kwa mara nyingi na vyombo vya habari vya nje ya Tanzania kuliko vya humu ndani. Vyombo vya habari vya hapa ndani wanaona kazi yao ni kutangaza tu viongozi wa CCM wamesema nini, hata kama bayo yaliyosemwa hayana maana wala msaada wowote. Vyombo vyote vya habari Tanzania vimeamu kuwa vyombo vya propaganda vya CCM.
Ni kweli waandishi wamekaa kichawachawaMwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
Mimi naona kutetea waandishi wa habari, it's only a matter of defence, lakini alichosema Butiku nchicho kinachotokea. Media industry imebadilika sana. Hata ukisikiliza mijadala inayofanyika kwenye vyombo vya habari si ile inayo'address' people's pressing issues, bali mambo ya kawaida sana ambayo hata yasingehitaji mjadala wowote. Kuna vitu kujadili au kutovijadili hakuna impact yoyote kwa jamii, hivyo ni useless kuvijadili. Lakini mijadala kama hii ndiyo inayofanyika katika media outlets nyingi. Hivyo, Balile angeweza tu kusema lililosemwa tutalifanyia kazi na si kuwa defensive na kuanza kama kum'attack' Butiku.Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
Hajawatukana.Amewapa changamoto.Anawachangamsha ili wafanye investigative journalism. Ni ujinga wao kusubiri press conferences za polisi ndiyo waandike habari kwa jamii.Very shallow news!Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯
Balile awe na heshima kidogo mzee butiku yupo sahihi,hii ni kazi ya waandishi kuchunguza na kufichua maovu katika jamii.angekuwa muwazi kuwa ata wao wanaogopa kutekwa na kufa.
Well Noted Mkuu...Balile naona kama vile kapanic na anaonyesha upeo mdogo sana dhidi ya Butiku!
Butiku aliongea kwa codes sana!
Aliposema " tunawajua" alimaanisha kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinajua Kila kitu!
Kumbukeni kuwa Butiku naye ni " Nyoka" anajua anachosema.
Sasa akili za kichawa chawa kama za Balile haziwezi kumwelewa Butiku !
Payroll kaziniMwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana
Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini
Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa
Source: East Africa Radio/ Tv
My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha ππ₯