Balile: Mzee Butiku aache uwoga atutajie majina ya Wauwaji wa Kibao aone kama hatutachapisha, aache kututukana Waandishi!

Balile: Mzee Butiku aache uwoga atutajie majina ya Wauwaji wa Kibao aone kama hatutachapisha, aache kututukana Waandishi!

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥


NLIKUWA NAAMBIWA BALILE NI KILAZA LAKINI SIKUJUA KWA KIWANGO HIKI.
 
Balile amekosa weledi. Hiii tasnia sijui kuna nani walio timamu!! Maana wengi wao ni shida tupu!

Butiku amesema wazi kuwa vyombo vya usalama vinawajua watekaji na wauaji.

Ukitaja kujua tuna wanahabari na vyombo vya habari vya hovyo, tukio la mauaji ya Ali Kibao limeongelewa sana, kwa uwazi na kwa mara nyingi na vyombo vya habari vya nje ya Tanzania kuliko vya humu ndani. Vyombo vya habari vya hapa ndani wanaona kazi yao ni kutangaza tu viongozi wa CCM wamesema nini, hata kama bayo yaliyosemwa hayana maana wala msaada wowote. Vyombo vyote vya habari Tanzania vimeamu kuwa vyombo vya propaganda vya CCM.
No, they're not bootlickers, they're secret spy agents. Take care.

Read the book titled "The Snake in Suits"
 
Balile hawezi kukubaliana na akili kubwa ya Butiku kwa sababu vyombo vyote vya habari ni matawi ya CCM na chawa wakubwa wa serikali. Kwa hiyo hawawezi hata siku moja kuandika habari ambayo iko kinyume na CCM au serikali hata kama habari yenyewe ina ukweli wa kiwango cha lami. ITV yenyewe hapo kila siku inarusha nukuu ya mama hamna cha maana wanachokitangaza.
 
Hongera sana balile, wachache sana wataelewa hili, ni hakika kabisa hiyo taasisi inafanya kazi gani?

Pengine ndio inayoratibu hayo mambo,
Si mpaka kesho bado wanataka fikra zidumu? Waendelee kubakia madarakani milele na milele? Sasa watu wa hivyo si ndio watakuwa tayari kufanya lolote?

Yaani hapo umeifungua code vizuri sana
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Pascal Mayalla muonye mwenyekiti wa jukwaa lenu ndugu Balile asijibizane na wazee wake.
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Mzee Butiku Yuko sahihi, waandishi wa habari na media karibu zote wamegeukia uchawa. Ukisoma kurasa zote za mbele ni kusifu na kutukuza rais utadhani ni malaika aliyeshuka. Sijanunua magazeti kwa miaka sasa
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Mnatutoa kwenye reli
 
Balile amekosa weledi. Hiii tasnia sijui kuna nani walio timamu!! Maana wengi wao ni shida tupu!

Butiku amesema wazi kuwa vyombo vya usalama vinawajua watekaji na wauaji.

Ukitaja kujua tuna wanahabari na vyombo vya habari vya hovyo, tukio la mauaji ya Ali Kibao limeongelewa sana, kwa uwazi na kwa mara nyingi na vyombo vya habari vya nje ya Tanzania kuliko vya humu ndani. Vyombo vya habari vya hapa ndani wanaona kazi yao ni kutangaza tu viongozi wa CCM wamesema nini, hata kama bayo yaliyosemwa hayana maana wala msaada wowote. Vyombo vyote vya habari Tanzania vimeamu kuwa vyombo vya propaganda vya CCM.
Unataka Chawa Balile aongee tofauti akose safari za Mama!

Wewe huwajui wachumia tumbo kama Balile! Kwa upeo wake mdogo kama Mwijaku anaweza kumdhalilisha Butiku akidhani anamsaidia Mama!

Kwa summary ya press ya Butiku kwa mtu mwenye akili timamu ni kwamba
Butiku alitutaarifu kuwa Mama amepwaya na hakuna uwajibikaji katika Serikali yake!

Ndo maana Butiku aligusia kujiuzuru kwa Hayati Rais Mwinyi akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani!

Sasa leo watu wenye Silaha nzito wanaingia kwenye Basi mchana kweupe na kumchukua raia mwema na kumuua halafu Waziri Masauni anapeleka mashavu yake msibani eti anataka kuwahutubia waombolezaji!

Mama Abdul kapwaya, period!
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Ni kweli waandishi wamekaa kichawachawa
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Mimi naona kutetea waandishi wa habari, it's only a matter of defence, lakini alichosema Butiku nchicho kinachotokea. Media industry imebadilika sana. Hata ukisikiliza mijadala inayofanyika kwenye vyombo vya habari si ile inayo'address' people's pressing issues, bali mambo ya kawaida sana ambayo hata yasingehitaji mjadala wowote. Kuna vitu kujadili au kutovijadili hakuna impact yoyote kwa jamii, hivyo ni useless kuvijadili. Lakini mijadala kama hii ndiyo inayofanyika katika media outlets nyingi. Hivyo, Balile angeweza tu kusema lililosemwa tutalifanyia kazi na si kuwa defensive na kuanza kama kum'attack' Butiku.
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Hajawatukana.Amewapa changamoto.Anawachangamsha ili wafanye investigative journalism. Ni ujinga wao kusubiri press conferences za polisi ndiyo waandike habari kwa jamii.Very shallow news!
 
Balile awe na heshima kidogo mzee butiku yupo sahihi,hii ni kazi ya waandishi kuchunguza na kufichua maovu katika jamii.angekuwa muwazi kuwa ata wao wanaogopa kutekwa na kufa.

Njaa tupu.. Wewe Boni yai anakuwa na taarifa zote za watekaji kabla ya waandishi wa habari? Wanaandika kwa kupata taarifa toka kwa Boni yai. Hatuna waandishi wa habari tuna machawa.
 
Balile naona kama vile kapanic na anaonyesha upeo mdogo sana dhidi ya Butiku!
Butiku aliongea kwa codes sana!
Aliposema " tunawajua" alimaanisha kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vinajua Kila kitu!
Kumbukeni kuwa Butiku naye ni " Nyoka" anajua anachosema.

Sasa akili za kichawa chawa kama za Balile haziwezi kumwelewa Butiku !
Well Noted Mkuu...
 
Huyu mzee tangu tupo shule tunasikia yeye ndio mwenyekiti wa kigoda cha mwalimu Nyerere,nani alimpa hicho cheo ,hakina mwisho ,ukiwa nacho wewe unakuwa mpinzani wa serikali.

Nashauri serikali impe kijana nafasi hiyo huyu mzee apumzike


USSR
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Payroll kazini
 
Back
Top Bottom