Balile: Mzee Butiku aache uwoga atutajie majina ya Wauwaji wa Kibao aone kama hatutachapisha, aache kututukana Waandishi!

Balile Chawa wa Mama mnafiki sana huyu!
Anapenda kulamba makalio ya viongozi ila kwa JPM alichemka aache unafiki wake!
 
Balile alipokua hapati chakula alikua anajifanya mwandishi wa maana kumbe ni debe tupu na kigazeti chake uchwara yaani kuna mtu ofisin analipwa kwa kazi ya kuhakikisha raia wako salama hafanyi kazi yake halafu mtu mwenye kuwaza kwa kutumia tumbo kama Balile anasema Butiku amuonyeshe!!! Nini maana ya Investigative journalism??? Wewe mwandishi Balile hovyo sana zero kabisa..Siku ndg yako akitekwa akauwawa utafurahi acheni ujinga .
 
nadhani balile alimuelewa zaidi, lakini pia wanahabari wengine walimuelewa sana na ndiyo maana waliokua wakijaribu kumchallenge kwa maswali mawili matatu nae akioanekana kupanic kidogo...

kwan ulitaka kusemaje gentleman kwa faida ya wadau?
Unataka kunikopa maneno siyo! Sichokozeki ng'o!
 
Mzee Butiku kasema ukweli - waandishi baadhi wananunuliwa pamoja na vyombo vyao vinatumika kuandika propaganda za kutunga. Tuliona kuanzia Bandari, Loliondo nk

Mzee yupo sahihi kuhusu tasnia ya habari TZ - mjirekebishe.
Hakuna ukweli, ni ujinga mtupu
 
Balile, ulitakiwa umuulize hili swali kwenye press yake.
 
Tanzania hatuna waandishi wa habari! Hata marehemu Ben Mkapa aliwahi kuwaponda! Sasa waandishi wenyewe ni hawa hawa walimu wa UPE akina Oscar Oscar! Wataandika habari gani?
 
Balile
 

Taasisi ya Nyerere ina kazi ya kusimamia haki za Watanzania wote, kama haki zao ya kuishi. Misingi ya kitaifa. Ni kweli waandishi wa habari wamekuwa waoga wanatishwa na kutishika na mkono wa serikali.
 
Balile ni musiba aliepoa yani ni chawa wa bi chura
 

Bro una point muhimu, ila ni vigumu kuzisoma weka paragraphs.
 
Hana akili ,wameambiwa wakawahoji beberu zaserikali yeye anakuja kinyunyume
 
Balile awe na heshima kidogo mzee butiku yupo sahihi,hii ni kazi ya waandishi kuchunguza na kufichua maovu katika jamii.angekuwa muwazi kuwa ata wao wanaogopa kutekwa na kufa.
Na kazi ya wachunguzi ni ipi?
 
Huyu mzee tangu tupo shule tunasikia yeye ndio mwenyekiti wa kigoda cha mwalimu Nyerere,nani alimpa hicho cheo ,hakina mwisho ,ukiwa nacho wewe unakuwa mpinzani wa serikali.

Nashauri serikali impe kijana nafasi hiyo huyu mzee apumzike


USSR
Kigoda tena na si Mwl Nyerere foundation?
 
Huyo Balile aache ujinga wake na asithubutu kumrukia mzee butiku tena akome kabisa, huyo Balile ndio lile kundi la wapumbavu wanaotafuta ukuu wa wilaya kwa uchawa,huyu tumemtaka aje hapa kwenye jukwaa siku nyingi tu atuambie hawa watekaji wametoka wapi yeye lazima anawafahamu maana alituambia kupitia malumbano ya hoja pale ITV kwamba serikali ya awamu ya sita ya SAMIA watu Wana amani na furaha maana watu hawapotei tena na kutekwa kama wakati wa JPM, aache kurukaruka asituletee hadithi zake za kijinga hapa aje atueleze hawa watekaji wanaouwa watanzania wametoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…