Balile: Mzee Butiku aache uwoga atutajie majina ya Wauwaji wa Kibao aone kama hatutachapisha, aache kututukana Waandishi!

Balile: Mzee Butiku aache uwoga atutajie majina ya Wauwaji wa Kibao aone kama hatutachapisha, aache kututukana Waandishi!

Amtajie yeye
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Balile akiwa amekaa wapi na anafanya nini!?

Huyo Muhaya ni tatizo kwenye hii nchi!! Mashavu kama ya Masauni
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Huyu mwandishi ni kenge magamba, wauaji ni polisi, idara ya intelijensia, na ccm
 
Huyu Balile ni chawa wa CCM,
Kwani siku hizi hakuna wandishi wa habari za uchunguzi? Ndio kazi Yao hiyo.
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Mzee kayakoroga. Kimsinginilitakiwa Butiku tumie mkutano wake kukiasa chama chake maana ndio kimeshika dola. Sasa yeye akawa anapuyanga na wasio husika.
 
Butiku aliwafundisha waandishi namna ya kumuuliza maswali Masauni, sijui kwanini Balile amekuwa mkali.
 
Hii ni 15th July 1963 aliesimama nyuma ya mwalimu alikua ni butiku hapo ni ikulu ya marekani na huyo ni raisi wa marekani John F kennedy....
Nafikiria sana mwaka huo balile alikua wapi hadi ajibizane na katibu wa baba wa Taifa? Kuna Tatizo kubwa sana kwenye kuchagua viongozi wetu..
Hasa wa vyombo vya habari.....
 

Attachments

  • Screenshot_20240911-125225_Instagram.jpg
    Screenshot_20240911-125225_Instagram.jpg
    963.8 KB · Views: 1
Wewe tutusa kama Balile tu.Laiti ungemsikiliza Mzee Butiku mwanzo mwisho usinge support huu ujinga wa Balile
sasa wewe tutuse SI kama kama Mzee wa codes waoga kama Hamas but wajuajiiiiiii🤣

sasa kuogopa kutaja anao wajua ili waachapishwe kwenye vyombo vya habari si ndio ujinga zaid wenyewe gentleman ?🤣
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Mbona akina Bon yai na Mbowe wameeshayataja baadhi ya majina na hawajayachapisha? Jamaa wameshaingiliwa, mafala sana.
 
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Mh Balile amepinga Kauli ya Mzee Butiku kwamba Waandishi wa habari wa Tanzania ni Waoga sana

Balile amesema yeye Mzee Butiku ndiye Mwoga kwani kama ana Majina ya Watekaji na Wauwaji wa Ally Mohamed Kibao ayapeleke kwa Waandishi wa habari aone kama hayatachapishwa magazetini

Balile amesema mzee Butiku ana Tabia ya Kutukana Waandishi wa habari ilhali yeye mwenyewe ofisi yake ya Mwalimu Nyerere Foundation haijulikani inafanya kazi gani kwa sasa

Source: East Africa Radio/ Tv

My take; Hata Mbuyu ulianza kama mchicha 😂🔥
Balile=mchumia tumbo
 
Back
Top Bottom