Balile na Pascal Mayalla je wanamtumikia nani , mbona hawana weledi katika kazi zao ?

Balile na Pascal Mayalla je wanamtumikia nani , mbona hawana weledi katika kazi zao ?

Pascal Mayalla andika habari za kuweka uwiano sawa wa kile unachozungumzia hata kama wewe ni kada mtiifu wa upande ule uliokunyima ubunge.
 
Balile na pascal Mayalla hawana weledi katika uandishi wa habari.

Naomba waendelee na siasa za kusifu na sio habari.
Ukituwekea weledi wako hapa na angalau Article moja tu ambayo umeandika na kuchapishwa katika gazeti lelote lile Duniani.

Tutakuchukulia kama ww ni mtu wa maana.

Zaidi ya hapo, Nyamaza!Imbecile ww
 
Akuna mwandishi kati yao... Ni vile washajikuta nao ni waandishi!
 
..sio balile na pascal tu..media yote Tanzania iko mfukoni mwa serikali, hakuna jambo geni hapo, tatizo ni vyama vya upinzani kushindwa kuwa na waandishi au media yao na wawalipe vzr wafanye kazi vile wao wanataka! wakiendelea kutegemea kina balile wawe fair..watakuwa si wajinga tena bali ni wapumbavu!
 
Back
Top Bottom