Balozi Batilda Buriani: Mtoto aliyeandika Barua ya kuacha Shule, ana akili sana

Ila dogo kwenye iyo barua kuna sehemu alisema anaenda kufanya kazi za uvuvi,hapo kumshauri na dogo kurudi shule hawaoni wamemnyima haki yake ya kuwa mvuvi,huenda ameona hao waliosoma hawana kazi na yeye njia aliyoona ni kufanya uvuvi
Akija kukosa ajira,wanalo.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi. Nadhani hayo mateso ya watoto kuna watu yanawanufaisha

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi tunatype mkuu hatuandiki.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Week ya 4 au 5 tu ya kidato cha kwanza kwa mtu aliyetoka darasa la saba kijijini atajua Kiingereza?
Watu muliozaliwa na kuishi mijini pekee inaonesha hamjui kabisa hali ilivyo vijijini huko( ingawa siyo vijiji vyote)

..sijamlaumu dogo, bali nailaumu serikali.

..elimu inayotolewa maeneo mengi ya vijijini ni ya kiwango cha chini kupita kiasi.
 
sasa hapo akili yake ipo wapi haswa?
 
Sijasikia popote ukizungumziwa ule mstari wa mwisho

"Vikadi allitugaia mwalimu mkuu msaidizi"

Vilikuwa vikadi vya Nini? Au hivyo 'vikadi' ni Nini hasa?
Ferruccio Lamborghini ametupa code kiaina, itakuwa hivyo ni vikadi vya msosi, dogo akifikiria diko na hali ya home uwezo wa kulipa mchango ni chechenizim akaona isiwe kesi naandika punch kisha natupa pen chini. Lazima kaandikiwa msamaha aweze bonya free of charge baada ya hilo tukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…