Only two people ndio walipaweza paleMtaalamu wa maswala ya Bandari na amesomeshwa kwa gharama kubwa lakini alipumzishwa kimazingira yasiyoeleweka ni NGAMILO.
Huyu mzee amebobea haswa kwenye maswala ya Bandari nadhani alikosana na Mwakiembe Kama sio mwendazake akaambiwa apumzike.
Huyu ndio aliweza kuondoa msongamnao bandarini ndiye architecture wa Bandari kavu na mengine mengi ambayo yanatumika bandarini. Atafutwe alipo arudishwe hapo bandarini
Kama unataka waajiriwa wa pale wakupopoe waambie hili jamboWamrudishe kankoko mbona kafanya vizuri na kupita mbali watangulizi wake waliopita
Kwan kwel aloboronga pale ?Ataboronga kama alivyofanya NSSF ukiachia mbali kuanzisha upendeleo wenye sura ya udini.
DAU? Aende akajaze waislamu pale bandarini kama alivyofanya NSSF. NSSF iligeuka kuwa kama taasisi ya kiislamu.Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Sana, huyu jamaa ni kimeo sana. NSSF aliifanya ikawa taasisi ya kiislamu.Huyo jamaa hapana, ni Mdini sana na Mbaguzi, aliwatesa sana Wakristo alipokuwa NSSF.
Wakristo walikuwa wakiapply kazi NSSF hata kama wana sifa timilifu anawaengua na kuwajaza Waislam wenzie mpaka alipokuja kushtukiwa
Kilichombeba ni vile alikuwa rafiki na business partner wa Magufuli, akahusika kwenye kuijenga Kigamboni bridge na majengo mengine kupitia ile kampuni ya JPM ya uhandisi
Baada ya kushtukiwa J.P Magufuli akampatia Ubalozi na kuahidi kumlinda
Tutapishana sana na mikeka kwenye corridor za bandarini
Amekula sana keki ya Taifa inatosha.
Kumbe na argue na mdini, bye!Ha ha ha ha,
You must be so so crazy man,
Unataka kumfananisha kijana wa madrasa JK na huyo kijana wako wa kipaimara mwenye roho mbaya??
Unataka kumfananisha born town JK na yule mshamba wako mchunga ng'ombe hata kuongea tuh lugha kiswahili fasaha hawez??
Records zipo na zinajieleza zenyewe,huo uchumi alioujenga huyo mwendazake uko wapi kila mtu nchi hii amemuacha akilia??
Sisi wakulima wa korosho ametuachia balaa,wafanya kaz amewaachia vilio,wafanya biashara wamefunga kila kitu,wawekezaji wamekimbia,vyombo vya habari kavisulubisha,wapinzan kawapiga risas,
.udini na ukabila ndiyo ikawa nguzo yake kuu,hadi wanaCCM wenzake kama Nape na kinana,plus membe wakamuita ni mshamba we utawezaje kumtetea..
Vijana wa madrasa are the best presidents ever,we are much proud of them starting from Mwinyi,Kikwete and now SAMIA,utatuambia nin??
We run this country accordingly
Majungu tu hayoSana, huyu jamaa ni kimeo sana. NSSF aliifanya ikawa taasisi ya kiislamu.
Mzee si inadaiwa Dau ni mpigaji sana halafu Mdini(anapendelea waislamu)....unataka kuchafua hali ya hewa...?Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?
Hata mwendazake mkuu....?Kagame aliwahi kusema ukinipa tu bandari, kutokana na Nchi 8 zote kutegemea kupitishia mizigo Bandari ya Dar,ukinipa hiyo Bandari tu nina uwezo wa kuendesha Nchi achilia mbali rasilimaliz ingine kama mafuta,Gesi,dhahabu,Maliasili na Ardhi.
Ilionekana kama bango kwa Rais Kikwete,lakini ukweli ni kuwa Kagame alisema ukweli mtupu.
Tanzania hatujawahi kupata kiongozi mzalendo na mwenye akili,hatukupaswa kuwa masikini kiasi hiki-we all imbeciles.
Correct, na infact kabla ya kwenda NSSF alikuwa Director wa marketing pale bandari mpaka mwendazake Mkapa alipompa u DG wa NSSF...Sina wasiwasi na Dr Dau, anaweza sana ila kuna watu watahoji mbona ana sijda kubwa.
Mzee Mkapa alikuwa akipenda kubadili kile kifupisho cha Ramadhan Dau ( R&D) kwa utani na kumuita Research and Development maana kila anachoshauri basi attachment yake ni research sio blaaa blaa!Correct, na infact kabla ya kwenda NSSF alikuwa Director wa marketing pale bandari mpaka mwendazake Mkapa alipompa u DG wa NSSF...
Mzee si inadaiwa Dau ni mpigaji sana halafu Mdini(anapendelea waislamu)....unataka kuchafua hali ya hewa...?
Naona kama historia ya bandani kidogo anaijua/elewaHahahhahaaha mkinga nimwehu nduguyng
Mkuu hujasoma maoni ya wadau humu, nilichofanya ni kufafanua kwamba unaposemwa udini basi ujue anasemwa Muisiramu hapo...yaani ukisikia pale pana udini sana maana yake hapo pana MAISIRAMU wengi...Waislam gan Tena,na nyinyi mnasema kuwa waislam hawana shule...
Hao alokuwa anawapendelea hapo Nssf ni wepi sass,maana huko Taasisi zingine zoote zimejaa makanisa tuh
Waislam gan Tena,na nyinyi mnasema kuwa waislam hawana shule...
Hao alokuwa anawapendelea hapo Nssf ni wepi sass,maana huko Taasisi zingine zoote zimejaa makanisa tuh
Ha ha ha ha,
You must be so so crazy man,
Unataka kumfananisha kijana wa madrasa JK na huyo kijana wako wa kipaimara mwenye roho mbaya??
Unataka kumfananisha born town JK na yule mshamba wako mchunga ng'ombe hata kuongea tuh lugha kiswahili fasaha hawez??
Records zipo na zinajieleza zenyewe,huo uchumi alioujenga huyo mwendazake uko wapi kila mtu nchi hii amemuacha akilia??
Sisi wakulima wa korosho ametuachia balaa,wafanya kaz amewaachia vilio,wafanya biashara wamefunga kila kitu,wawekezaji wamekimbia,vyombo vya habari kavisulubisha,wapinzan kawapiga risas,
.udini na ukabila ndiyo ikawa nguzo yake kuu,hadi wanaCCM wenzake kama Nape na kinana,plus membe wakamuita ni mshamba we utawezaje kumtetea..
Vijana wa madrasa are the best presidents ever,we are much proud of them starting from Mwinyi,Kikwete and now SAMIA,utatuambia nin??
We run this country accordingly
Dau alikuwa na roho nzuri kujaza waswalinah pale nssf.
Huyu mzee wa kijiwe Cha saigon abaki huko huko ubalozini.
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
kwa nini asipewe mzee Mkinga? yupo hapo muda mrefu sana.Inawezekana kumleta Balozi Dau kuendesha Bandari baada ya mabadiliko ya leo? Kwanini hii taasisi imekuwa shida sana kuisimamia?