404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
✍️Mungu ni MMOJA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✍️Mungu ni MMOJA
So what?Huyu slaa aliwasaliti chadema
Anatafuta kiki ,afinywe afinyweDkt. Slaa amesema vitisho vya wanaokosoa mkataba sio tu kwa wanasheria, bali hata yeye amepokea vitisho kutokana na kukosoa yanayoendelea kwenye mkataba wa bandari.
Amesema hivi karibuni kuwa walimwambia hata Ubalozi wake watauchukua, ambapo bila kuonesha woga Slaa amesema wauchukue tu Ubalozi.
Slaa ameyazungumza hayo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusu mkataba wa bandari.
Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Sasa umebaki kucheka cheka tu kama mdoli, maswali yote yamewashinda kuyajibu.Halafu waandishi wakitoka hapo wanapewa posho?
Au na wao "wazalendo" kama Slaa ?
Wanaenda kuripoti Kwa "uchungu"?[emoji28]
Kashafanya mikutano na waandishi mingapi?kashatoa posho ngapi??
Pesa inatoka wapi??
Sie wazalendo kwani ulidhani na nyinyi wahuni wenye wajomba omanNyie wakina nani?
Hakuna cha wazanzibar.Huu muungano kama vipi uvunjike. Haiwezekani Wazanzibari tuliowakomboa kutoka kwa yule Sultan wao wa Oman mwaka 1964, leo hii wajione kuwa na haki ya kututisha Watanganyika na pia kutuamulia mustakabari wa maisha yetu.
Sultan ni mjomba wa mjambiani mpumbaavu ...ndiyo maana hata mtoto wa karume wanachuki naye pamoja na nyerereHuu muungano kama vipi uvunjike. Haiwezekani Wazanzibari tuliowakomboa kutoka kwa yule Sultan wao wa Oman mwaka 1964, leo hii wajione kuwa na haki ya kututisha Watanganyika na pia kutuamulia mustakabari wa maisha yetu.
Aliwasaliti chadema au chadema ndio walimsaliti dk Slaa kwa kumkaribisha Lowasa kugombea urais kwa tiketi ya ukawaHuyu slaa aliwasaliti chadema
Kiki gani punguza mihemko na unafikiAnatafuta kiki ,afinywe afinywe
Dingi kwenye ukweli ni zaidi ya rulaambapo bila kuonesha woga Slaa amesema wauchukue tu ubalozi.
Aliwasaliti kivipi?? Ulitaka aendelee kuunga mkono wa ujinga wa kusema lowasa fisadi then aje aseme siyo fisadi? Wewe ni lijinga sana na huna akiliHuyu slaa aliwasaliti chadema
Wao wamewashika wazanzibari tu wanasema ndo wahusika wa Mkataba SSHHakuna cha wazanzibar.
Tatizo kuu ni CCM. Achane kupindisha mambo.
Haiwezekani Taifa lenye watu zaidi ya millioni 60 tukae tunalialia eti Zanzibar (yenye watu wasiofika hata millioni 2.) Wanauza mali zetu.
Pale kwenye baraza la mawaziri kuna watanganyika kibao. Mbona hawakupinga.
Bungeni- watanganyika wapo kama wote mbona nao hawajapinga.
Tupambane kuibana CCM na sio Zanzibar.
Mbona tunachanga wenyeweHalafu waandishi wakitoka hapo wanapewa posho?
Au na wao "wazalendo" kama Slaa ?
Wanaenda kuripoti Kwa "uchungu"?[emoji28]
Kashafanya mikutano na waandishi mingapi?kashatoa posho ngapi??
Pesa inatoka wapi??
Na macho makubwa kasaliti watanzaniaHuyu slaa aliwasaliti chadema
Ukivunjika bandari ya daresalama itaathirika sana sana. Muungano una faida kubwa kwa Zanzibar na TanganyikaHuu muungano kama vipi uvunjike. Haiwezekani Wazanzibari tuliowakomboa kutoka kwa yule Sultan wao wa Oman mwaka 1964, leo hii wajione kuwa na haki ya kututisha Watanganyika na pia kutuamulia mustakabari wa maisha yetu.