Balozi Dkt. Slaa: Hata mimi nimetishiwa, na hata Ubalozi wakitaka wauchukue

Balozi Dkt. Slaa: Hata mimi nimetishiwa, na hata Ubalozi wakitaka wauchukue

Ukosoaji ukijaa kebei na dharau na bezo hugeuza lengo na hoja kupelekea vioja.

Nimekuelewa. Lakini je anayekosea anatishiwa ama kuchukuliwa hatua za kisheria
Watachukuliwa hatua za kisheria wote.

Hukuona Slaa kaanza kubadili kauli leo. Kaona eeh, hapa si kawaida. Kishanusa, si system yule.

Anataka sasa kucheza kama double agent. Kama bado alikuwa hawaingizi mkenge wenzake.
 
Slaa yupo kwa kazi maalum ya serikali.


Mwache awajaze kichwa kichwa wasiojielewa.


Mnaojidai kupinga na kumshirikisha Slaa, mjuwe anawaumiza.
 
Dkt. Slaa amesema vitisho vya wanaokosoa mkataba sio tu kwa wanasheria, bali hata yeye amepokea vitisho kutokana na kukosoa yanayoendelea kwenye mkataba wa bandari.

Amesema hivi karibuni kuwa walimwambia hata Ubalozi wake watauchukua, ambapo bila kuonesha woga Slaa amesema wauchukue tu Ubalozi.

Slaa ameyazungumza hayo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusu mkataba wa bandari.

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Anavunga tu huyo, yupo kwenye system. Waulizeni waliofanya nae kazi chadema. Hawajawahi kumuelewa.

Watanzania tuna fikra fupi sana.
 
Anatia huruma huyu mzee aliyeshindwa aisee!! M/Mungu amsaidie aweze kusimama tena.......
 
Dkt. Slaa amesema vitisho vya wanaokosoa mkataba sio tu kwa wanasheria, bali hata yeye amepokea vitisho kutokana na kukosoa yanayoendelea kwenye mkataba wa bandari.

Amesema hivi karibuni kuwa walimwambia hata Ubalozi wake watauchukua, ambapo bila kuonesha woga Slaa amesema wauchukue tu Ubalozi.

Slaa ameyazungumza hayo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusu mkataba wa bandari.

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Simama Dr Slaa. Wote tutakufa hivi Karibuni. Simama maslahi ya Tanzania.
 
Anatia huruma huyu mzee aliyeshindwa aisee!! M/Mungu amsaidie aweze kusimama tena.......
Huyo ndiyo kwisha, tatizo ana matumizi makubwa kuliko kipato chake.

sasa anacheza kama double agent, huku hayuko kule hayuko, ankula huu.
 
Huyo ndiyo kwisha, tatizo ana matumizi makubwa kuliko kipato chake.

sasa anacheza kama double agent, huku hayuko kule hayuko, ankula huu.
Siku hizi badala kushabikia hoja unashabikia personality !!.
UmekuwaJe mzee mwenzangu ?!.

Wanaopinga hoja za bandari wanatoa na vifungu wanavyoona vinadhalilisha uhuru taifa. Nyinyi mmekazania personality na hicho mnachodhani ni faida.

Hoja hupingwa kwa hoja. Si vinginevyo
 
Hakuna cha wazanzibar.

Tatizo kuu ni CCM. Achane kupindisha mambo...
Nakuunga mkono mkuu

Kuwalaumu wazanzibari ni Uvivu tu wa kufikiri.

CCM ndo wetufikisha hapa.

Siku zote hua na aamini kun amuhimu sna wa kua na Wapinzani Bungeni, atleast hata 30% inasaidia sana hata kuwaamsha hao wahuni wa chama tawala.
 
Siku hizi badala kushabikia hoja unashabikia personality !!.
UmekuwaJe mzee mwenzangu ?!.

Wanaopinga hoja za bandari wanatoa na vifungu wanavyoona vinadhalilisha uhuru taifa. Nyinyi mmekazania personality na hicho mnachodhani ni faida.

Hoja hupingwa kwa hoja. Si vinginevyo
Tunam expose Slaa kwa wasiomfahamu alivyo.

Hakuna kifungu wala nini, wote ni hate mongers.
 
Kama gari Moshi tupo katika njia salama:



Hatumtishi mtu, wasitutishe, tusitishane:

F02zS5GWABMS5v2.jpeg


Pole pole tutafika tu.
 
Huyu slaa aliwasaliti chadema
Slaa ni msaliti toka alipozaliwa. Aliwasaliti wazee wake, akasaliti upadre, akamsaliti mke wake wa kwanza na watoto, akamsaliti josephine mshumbushi, kaisaliti chadema. Na sasa anaisaliti CCM, iliyompa ubalozi.

Kwa usaliti wa slaa, mbona usaliti wa Yuda Iskariote ni cha mtoto?
 
Dkt. Slaa amesema vitisho vya wanaokosoa mkataba sio tu kwa wanasheria, bali hata yeye amepokea vitisho kutokana na kukosoa yanayoendelea kwenye mkataba wa bandari.

Amesema hivi karibuni kuwa walimwambia hata Ubalozi wake watauchukua, ambapo bila kuonesha woga Slaa amesema wauchukue tu Ubalozi.

Slaa ameyazungumza hayo akiwa anazungumza na waandishi wa habari kuhusu mkataba wa bandari.

Pia soma: Mkutano wa Dkt. Slaa, Askofu Mwamakula, Wakili Mwabukusi na Madeleka
Hajaacha kutafuta kiki aisee, chademo muungeni kwenye umoja wenu si ajabu baadhi ya watu wakaanza kujiteka, kujificha na kujifanya hawaonekani, HAKIKA CHADEMA MLITIA FORA WAKATI FULANI.
 
Dp world lazima wapewe bandari

Mushaiba vya kutosha watz ple bandarini

End of an Era
 
Tunam expose Slaa kwa wasiomfahamu alivyo.

Hakuna kifungu wala nini, wote ni hate mongers.
Mimi nikiri kukuelewa vizuri hoja zako juu ya IGA, DPW na Dar Port.

Shida yangu ni: kwa nini watu bado wanaendelea kufoka na kushupaza shingo kwa serikali na bunge kuridhia IGA ?

Je, wewe huoni shida kwenye baadhi ya vifungu vya IGA vinavyolalamikiwa?

Uliwahi kuabdika hapa jf kwamba IGA ni makubaliano baina ya nchi mbili, na kwamba mikataba bado. Je, hiyo mikataba inaweza kwenda kinyume na kilichopo ndani ya IGA?
 
Wewe umezaliwa Tanzania; hiyo Tanganyika unahadithiwa tu na baba yako[emoji1787]
Hujielewi, na huelewi chochote. Kasome katiba. Ndani ya katiba hakuna neno Tanganyika?

Katiba inaposema kuwa mali zote za Tanganyika zitasimamiwa na serikali ya JMT, huwa unaelewa maana yake?

Hivi nikisema mali zote za Magonjwa Mtambuka zitasimamiwa na Bams, inamaanisha Magonjwa Mtambuka hayupo?
 
Nyie wakina nani?
Wenye Nchi.....! Kama wewe ni mhamiaji kaa kimya au kama wewe ni poyoyo vilevile kaa kimya.

Tuache wenye akili na uchungu wa Nchi yetu tupambanie hatima yatu na vizazi vyetu.
 
Hivi Bado mnamsikkiliza huyu Malaya wa kisiasa? Amepata kichaka Cha kutokea ...binafsi tangu anunuliwe 2015 Sina hamu naye
 
Back
Top Bottom