Ila Jiwe sijui lilikuwa lina nini kichwani aisee..
Balozi Joseph Edward Sokoine alimtembelea Tundu Lissu Hospital Belgian baada ya tukio hili alirejeshwa nyumbani haraka.
Leo Mh Rais Mama Samia Suluhu kamteua kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Pia soma> Tundu Lissu: Balozi Joseph Sokoine alirudishwa Tanzania baada ya kunitembelea Hospitali nchini Ubelgiji
Mods piga Ban huyu anaporomosha matusi.
Na wewe unayemsaga anasemaje?
Alirudishwa kwa sababu alienda kumtembelea lissu hospitali ubalgijiNi mtoto wa hayati sokoine alikuwa ubarozini Washington DC kwa miaka mingi sana. Baadaye karudishwa wizarani.
CCM ni nani kwa sasa? Je hukohuko ndani ya CCM ni nani ana sauti zaidi ya Mama SSH. Atachotaka kufanyika kitafanyika bila pingamizi lolote lile. Labda wajumbe wa CCM wanaweza toa ushauri tu na si vinginevyo na ushauri wao unaweza kusikilizwa ama husitekelezwe. Usisahau pia, Mama ni Amiri jeshi Mkuu na ana nguvu ya kuamrisha lolote lile atakalo ndani wa uwezo wa mwanadamu na likafanyika liwe ndani ya chama ama ndani ya serikali.Usishangae kutokea COVID-19 wakipewa teuzi mbalimbali kuanzia uDC kumaliza giza. Kisha kina Mbowe wataombwa walete listi nyingine rasmi.
Kuhusu Katiba mpya na Tume huru sahau. Labda maigizo yake. CCM hawako tayari kuachia madaraka. Wanaweza kulegeza kamba kidogo ili 2025 CHADEMA waambulie viti kiasi cha kurejea kuwa KUB kama zamani huku fitna zikipandikizwa kwa wingi kuvuruga utangamano ndani ya hicho chama.
Alirudishwa kwa sababu alienda kumtembelea lissu hospitali ubalgiji
Unamsaga mama yako kumbe?Muulize mamayako mzazi na mkeo wanaosagana wanajua shughuli yake
Ahsante mkuu Ngongo.
Mamako na mkeo si ndio kazi yaoUnamsaga mama yako kumbe?
Ooh ni marehemu, aliitwa LazaroSokoine ana mtoto wake mmoja jina limenitoka, ila jamaa alisoma Cuba
Ila mtata sana,nashangaa hapewi teuzi
[emoji23][emoji23]
Ova
Ahh exactly mzee!..huyo ni mtoto wa kwanza wa marehemu sokoine. Alikuwa anaitwa Lazaro Moringe Sokoine. kwa sasa ameshatangulia mbele za haki.
Kitendo cha Balozi Sokoine kurudishwa nyumbani kisa kumtembelea Lissu mgonjwa hospitali ulikuwa ushahidi wa kutosha kuthibitisha uhusika wa magufuli na serikali yake kwenye shambulio ovu dhidi ya Lissu! Mungu amlipe Magu kwa kadri anavyostahili! Moto mkali jehanamu.
Balozi Joseph Edward Sokoine alimtembelea Tundu Lissu Hospital Belgian baada ya tukio hili alirejeshwa nyumbani haraka.
Leo Mh Rais Mama Samia Suluhu kamteua kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Pia soma> Tundu Lissu: Balozi Joseph Sokoine alirudishwa Tanzania baada ya kunitembelea Hospitali nchini Ubelgiji
Una maneno mabovu wewe mtuAngemtumia wa2 wasiojulikana wamle 0716
Pum...vu hilo jamaaJiheshimu wewe....
au ndo umejiunga juzi JF,
Kitendo cha Balozi Sokoine kurudishwa nyumbani kisa kumtembelea Lissu mgonjwa hospitali ulikuwa ushahidi wa kutosha kuthibitisha uhusika wa magufuli na serikali yake kwenye shambulio ovu dhidi ya Lissu! Mungu amlipe Magu kwa kadri anavyostahili! Moto mkali jehanamu.
Sent from my itel A32F using JamiiForums mobile app
Sikubishii. Nakukumbusha kwamba huyo Mama ni CCM. Na azma ya CCM ni kubaki madarakani milele huku ikitengeneza sura ya kuwepo kwa taswira ya demokrasia nchini. Atasahihisha makosa aliyofanya Magufuli. Lakini usitarajie afanikishe hatua za kweli kama kutegeneza Katiba ya Taifa inayokubalika na wananchi na kuunda Tume huru ya uchaguzi mambo yatakayopunguza madaraka ya Rais/Mwenyekiti wa CCM na kuwezesha CCM kushindwa uchaguzi. Tarajia janja za kila aina kwenye masuala ya msingi kama haya.CCM ni nani kwa sasa? Je hukohuko ndani ya CCM ni nani ana sauti zaidi ya Mama SSH. Atachotaka kufanyika kitafanyika bila pingamizi lolote lile. Labda wajumbe wa CCM wanaweza toa ushauri tu na si vinginevyo na ushauri wao unaweza kusikilizwa ama husitekelezwe. Usisahau pia, Mama ni Amiri jeshi Mkuu na ana nguvu ya kuamrisha lolote lile atakalo ndani wa uwezo wa mwanadamu na likafanyika liwe ndani ya chama ama ndani ya serikali.