Balozi wa Marekani akutana na Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Lumumba jijini Dar es Salaam

Kama zamani tungeziba maskio
 
Cdm wapuuzi sana. Unakwamisha miradi ya kusaidia wananchi kwa kigezo kuwa itaipa sifa JPM na CCM. Mwaka 2015 walimtoa DR Slaa ili wale fedha za EL. Hawa si wahuni tu wa kawaida khalafu iko mijitu inahangaika na Lissu, inakera wakati mwengine.
Hehehee haters mtakoma mwaka huu
 
Ndio mnavyodanganya watu? Mara Lissu kawekewa chuma maalumu cha kunasa mawasiliano.

Hao CIA mbona hatuwaoni huku Segese Tambalale.
Unafikiri lazima ajimwambafai
Huyo anatumia pumzi na huyu mwingine anatunia Nini, binadamu wote ni sawa. Mengine ni matabaka tu kutokana na mazingira Fulani tu na hayo hayafai kuwa sababu ya kubaguana.
 
Huyu Bushiri vipi mbona anakutana na beberu .. ? au anataka kumuuzia madini yote yaliyobakia?
 
Ila CDM wanatakiwa watafute hela za kulipa mawakala vizuri kwa namna yeyote
Yaani game lote linaishaga kwenye kuandika matokeo kwenye zile paper. CCM hawana pressure kabisa na hizo nyomi za LISSU. Wao wanaandaa pesa na wanajua watazitumiaje
 
Hahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.

ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!

Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Huyo balozi kajitambulisha mwezi wa tisa na wameongea na Rais, sasa unataka aongee nini tena na Rais, pengine anahitaji mambo ya chama.
Hivyo katibu mkuu anatosha kuongea mambo ya chama.
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee vipi si mlisema JPM alikufa? Mlimfufua nyie? Huyo taahira wenu siku zake zimeisha. Subirini aibu yenu tarehe 29. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Naijua kuliko huyo mdesaji wa thesis ya mwaka 1984
Na kama alidesa kwanini wazungu waitumie kum cite kwenye publication zao. Wewe sema tu una kinyongo naye kwasababu alikuwa anakushinda darasani basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…