Kama zamani tungeziba maskioHawa wanawaita mabeberu hawapindishi mambo lazima walipewa za uso hawa wana CCM Mpya ndiyo maana mpaka sasa ofisi ya Katibu Mkuu CCM au ile ya Ideology na Uenezi ya Humphrey Polepole hawajatoa taarifa kwa umma mazungumzo hayo yalikuwa yamegusia masuala gani.
Kwako johnthebaptist.
Hehehee haters mtakoma mwaka huuCdm wapuuzi sana. Unakwamisha miradi ya kusaidia wananchi kwa kigezo kuwa itaipa sifa JPM na CCM. Mwaka 2015 walimtoa DR Slaa ili wale fedha za EL. Hawa si wahuni tu wa kawaida khalafu iko mijitu inahangaika na Lissu, inakera wakati mwengine.
MhhhKweli
Amemzidi elimu, amemzidi mshahara, amemzidi uzoefu, amemzidi utajiri, amemzidi vyoteAmemzidi nini Sasa? Ndio maana Magonjwa Mtambuka amelike😠
Tarehe 28 ndio mwisho wenu, mtuache na CCM yetu na Tanzania yetu.Hehehee haters mtakoma mwaka huu
Unafikiri lazima ajimwambafaiNdio mnavyodanganya watu? Mara Lissu kawekewa chuma maalumu cha kunasa mawasiliano.
Hao CIA mbona hatuwaoni huku Segese Tambalale.
Huyo anatumia pumzi na huyu mwingine anatunia Nini, binadamu wote ni sawa. Mengine ni matabaka tu kutokana na mazingira Fulani tu na hayo hayafai kuwa sababu ya kubaguana.Duh...sijui umefika darasa la ngapi wewe...hiyo ni shida kwa hakika uelewa wa mambo na hata elimu yako...mtu unaweza ukawa huna elimu lakini ukawa na uelewa wa issues, busara na hekima...wewe umekosa vyote...hu
na elimu...huna uelewa wa mambo...huna busara...huna hekima....
Magufuli ni Rais wa nchi, ni Head of state...na commander in chief of the armed forces...Rais Magufuli hawezi kwenda kwa Balozi...ila Balozi ndiye inabidi aombe Kama anataka kumuona na apangiwe muda...Balozi ataomba aonane na mtu mwingine akitaka...na Sasa ameomba akutane na Dk. Bashiru na amempa muda wa kuongea naye...
Usimchukulie Rais kuwa sawa na Lissu wenu...wako tofauti kabisa...usimchukulie Magufuli kuwa sawa na Balozi wa nyumba kumi...
Kuandika hapa kuwa eti Magufuli anakimbia ni kielelezo Cha uwezo wako mdogo na wa chini kabisa kuhusu uelewa wa issues mbalimbali...
Na pia Amemzidi kubaki Kujaza vyoo tu vya LumumbaAmemzidi elimu, amemzidi mshahara, amemzidi uzoefu, amemzidi utajiri, amemzidi vyote
PhD ya korosha imepishana na English tena. DahBalozi wa Marekani nchini leo amekutana na Katibu mkuu wa CCM katika ofisi ndogo ya chama Lumumba jijini Dsm.
Taarifa rasmi ya walichozungumza Dr Bashiru na balozi huyo wa dunia zitaletwa.
Source Watetezi tv
View attachment 1601057
View attachment 1601060
Maendeleo hayana vyama!
Yaani game lote linaishaga kwenye kuandika matokeo kwenye zile paper. CCM hawana pressure kabisa na hizo nyomi za LISSU. Wao wanaandaa pesa na wanajua watazitumiajeIla CDM wanatakiwa watafute hela za kulipa mawakala vizuri kwa namna yeyote
kwani wewe unaijua korosho vizuri au unaisikia tu.PhD ya korosha imepishana na English tena. Dah
Huyo balozi kajitambulisha mwezi wa tisa na wameongea na Rais, sasa unataka aongee nini tena na Rais, pengine anahitaji mambo ya chama.Hahaha Magufuli ana kimbia, huu ni muda wa kampeni yeye ndiye mgombea alipaswa aonekane huko.
ITV aliongea Bashiru, kwa balozi anaenda Bashiru yeye anaogopa nini?!
Kwanini asiende Polepole ndiye msemaji wa ccm?!
Umekosea au ndivyo ulivyo? Unaacha kujadili mambo muhimu kwa taifa!!!! Kujua kutofautisha R & L imekusaindia nini?Balozi atakuwa ameshangaa sn kuongea na mtu ambaye hajui tofauti kati ya R&L
Inasaidia sana, nadhani na wewe ni walewale.Umekosea au ndivyo ulivyo? Unaacha kujadili mambo muhimu kwa taifa!!!! Kujua kutofautisha R & L imekusaindia nini?
Naijua kuliko huyo mdesaji wa thesis ya mwaka 1984kwani wewe unaijua korosho vizuri au unaisikia tu.
Acha uongo mkuu, wewe hujui chochote mkuu kuhusiana na chemistry.Naijua kuliko huyo mdesaji wa thesis ya mwaka 1984
Na kama alidesa kwanini wazungu waitumie kum cite kwenye publication zao. Wewe sema tu una kinyongo naye kwasababu alikuwa anakushinda darasani basiNaijua kuliko huyo mdesaji wa thesis ya mwaka 1984
Acha utoto basiacha uongo mkuu, wewe hujui chochote mkuu kuhusiana na chemistry.
Nitakupa maswali mazito kuhusiana na hicho kitu hutoweza kunijibu kabisa
Naomba publication yako moja nione wazungu walipo ku cite.Naijua kuliko huyo mdesaji wa thesis ya mwaka 1984