Balozi wa Marekani akutana na Mbowe, asema upinzani imara ni afya ya demokrasia

Balozi wa Marekani akutana na Mbowe, asema upinzani imara ni afya ya demokrasia

Upinzani mzuri ulikuwa kipindi cha DR Slaa ulikuwa upinzani wenye hoja

Matamanio Urudi kama ule

Hoja zilikuwa zinashushwa za uhakika na takwimu juu hadi Lowasa aliachia ngazi uwaziri mkuu
 
Unaota? Ni lini US ilimwita Mandela gaidi? Au kwako wewe kila aliye na ngozi nyeue ni Mmarekani?
Labda umesahau....Wamarekani walikiita chama cha ANC cha kigaidi na kiongozi wake Mandela gaidi.....


Na aliwekwa kwenye list ya magaidi. Ngozi nyeupe zinasupportiana saana hata ambapo wanafanya ujinga....
 
Thesis+ ant-thesis = synthesis, namkumbuka jamaa wa hapo kale aliyeitwa Hegel. Falsafa yake ilikuwa ya aina hiyo.
 
Ikiwa walimuita hayati Mandela gaidi na wakachangamana naye baadae....itashindikana kwa yeyote mwingine?!!!!

Jifunze THESIS +ANTI-THESIS = SYNTHESIS

#Siempre JMT🙏
Ile ilikuwa ni sifa mojawapo ya mkoloni na kabaila ya kusingizia watu.

Kwani ni wakoloni waliomsingizia Mbowe?
 
Upinzani mzuri ulikuwa kipindi cha DR Slaa ulikuwa upinzani wenye hoja

Matamanio Urudi kama ule

Hoja zilikuwa zinashushwa za uhakika na takwimu juu hadi Lowasa aliachia ngazi uwaziri mkuu
2969622_images_9.jpeg
 

Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Donald J. Wright, leo Aprili 11, 2022 amepost picha akiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe kisha akaandika:

“Ni jambo zuri kukutana na Freeman Mbowe asubuhi ya leo. Upinzani mahiri wa kisiasa ni jambo jema kwa afya ya demokrasia, na demokrasia yenye afya inaruhusu maoni tofautitofauti. Ninaendelea kufanya kazi na wadau wote ili kupanua ushiriki wa kisiasa.”

==============

“Great to meet with @freemanmbowet this morning. A vibrant political opposition is critical to a healthy democracy, and a healthy democracy allows for many differing views. I remain committed to working with all stakeholders to expand the space for political participation.”
Ningeshangaa kama asingekwenda kwa beberu kusalimia.
 
Angalau kwa USA Mbowe anaweza kuwa mtu sahihi kwenye kazi yao, maana walishagundua TL sio mtu sahihi kwao kutokana na kuwa na uwezo mdogo kiakili na kukosa exposure ya kidunia...

Mbowe amemzidi mbali sana kiakili TL, pamoja na TL kuwa amesoma sana kuliko Mbowe... hapa ndio utaona utofauti wa akili za darasani na akili za mtaani, Mbowe ni mtoto wa kitaa mwenye exposure ya mtaa duniani kote + kuwa kijana Saigoni.
 
HHi
Ikiwa walimuita hayati Mandela gaidi na wakachangamana naye baadae....itashindikana kwa yeyote mwingine?!!!!

Jifunze THESIS +ANTI-THESIS = SYNTHESIS

#Siempre JMT🙏
Hii ndio historia mnayosoma hapa shule yenu ya viongozi?.
 
Angalau kwa USA Mbowe anaweza kuwa mtu sahihi kwenye kazi yao, maana walishagundua TL sio mtu sahihi kwao kutokana na kuwa na uwezo mdogo kiakili na kukosa exposure ya kidunia...

Mbowe amemzidi mbali sana kiakili TL, pamoja na TL kuwa amesoma sana kuliko Mbowe... hapa ndio utaona utofauti wa akili za darasani na akili za mtaani, Mbowe ni mtoto wa kitaa mwenye exposure ya mtaa duniani kote + kuwa kijana Saigoni.
Yote yanatokana na nini ?
 
Back
Top Bottom