Heko Mbowe na wapenda demokrasia wote nchini tumpe sapoti Mbowe ni kiongozi mahiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heko Mbowe na wapenda demokrasia wote nchini tumpe sapoti Mbowe ni kiongozi mahiri.
Corona ili mlenga yule jamaa aliyeamini ushirikina badala ya science (Jiwe). Jiulize baada ya Jiwe kudondoka nani mwingine alikufa kwa coronahawana barakoa au Corona iliuwawa kwenye vita ya Rusia na Ukreine?
Unateseka ukiwa wapi mkuu? Wanachanga kwa hiari yao wewe huko uliko roho inakuuma. Ukisikia ushirikina ndiyo huo sasa. Kama umeumia sana basi na wewe changishaView attachment 2183886
yaani chadomo waliona ni kitu cha kifahari sana kwa huyo balozi kukutana na mbowe kumbe hata ccm kakutana nao hapo naona Erythrocyte angeanza kusema hawezi kukutana na ccm kwakuwa hawana democrasia chadomo wanapenda promo kama watoto ndiyo maana mbowe anawapiga hela sana kila siku michango
Huyu si walisema amemaliza muda wake?Balozi Wright leo asubuhi amekutana na kiongozi wa Chadema @freemanmbowetz. Balozi alisema kuwa upinzani imara wa kisiasa ni muhimu kwa afya ya demokrasia. Alielezea tena azma ya dhati ya Marekani kufanya kazi na wadau wote kupanua nafasi ya ushiriki katika siasa.
View attachment 2183912