Balozi wa Marekani akutana na Mbowe, asema upinzani imara ni afya ya demokrasia


yaani chadomo waliona ni kitu cha kifahari sana kwa huyo balozi kukutana na mbowe kumbe hata ccm kakutana nao hapo naona Erythrocyte angeanza kusema hawezi kukutana na ccm kwakuwa hawana democrasia chadomo wanapenda promo kama watoto ndiyo maana mbowe anawapiga hela sana kila siku michango
 
CDM wataona mwenyekiti wao kama kakutana na Yesu vile kwa ujinga walionao. If Div 0 leads others, what do you expect from his followers?

waliozoea kukutana na watu kama hawa wala hawana neno kimya lakini kwa chadomo imekuwa nongwa wanaona ni sifa kubwa sana
 
Balozi Wright leo asubuhi amekutana na kiongozi wa Chadema @freemanmbowetz. Balozi alisema kuwa upinzani imara wa kisiasa ni muhimu kwa afya ya demokrasia. Alielezea tena azma ya dhati ya Marekani kufanya kazi na wadau wote kupanua nafasi ya ushiriki katika siasa.

 
Ahsante sana balozi !

The rule of law must be upheld!

The forest was shrinking but the trees kept voting for the axe.
 
kama nawaona chadema walivyonuna kwa balozi kuongea na kinana pia yaani walijuwa ni bonge la suprise kumbe mwenzao ana akili siyo wao wana matope tu kichwani anajuwa kubalance
 
kama nawaona chadema walivyonuna kwa balozi kuongea na kinana pia yaani walijuwa ni bonge la suprise kumbe mwenzao ana akili siyo wao wana matope tu kichwani anajuwa kubalance
Kwa post hii hata hao mazombie wenzako wa CCM watakucheka.
 

Habari hii ya Mbowe na Balozi Beberu si habari ndogo kwenye ile taasisi. Si mlisema ati ni taasisi?
 
angekuwa mwamba wa siasa angekuwa ikulu sasa mtu yuko anapiga kelele tu mitaani unasema mwamba wa siasa utakuwa masikini wa fikira kabisa wewe
Wewe masikini wa akili na mali ingetumika condom ungeiepushia familia yako aibu hii
 
Kasome vizuri unaaibisha walimu wa CCM.
😲🤣🤣Nawaabisha kwa kuwa nimekudanganya kuwa US haikumuita hayati Nelson Mandela gaidi mpaka kufikia mwaka 2008 ?!!!
 
Walimlipia gharama za mawakili, lazima aji-commit, there is no free lunch, lazima auze nchi
 

Kuna watu waliokuwa wanasema Chadema hakina nguvu lakini sio CIA wala nchi makini. Hata Waziri wa Ujerumani akija amepanga kukutana na Mbowe na sio Mrema!.

Lakini bado nafikiri vyama Tanzania vingetakiwa visizidi vitatu ili viwe na nguvu zaidi
 
Wakuu wamataifa wawili wameonana na kuongea jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…