View attachment 2183886
yaani chadomo waliona ni kitu cha kifahari sana kwa huyo balozi kukutana na mbowe kumbe hata ccm kakutana nao hapo naona
Erythrocyte angeanza kusema hawezi kukutana na ccm kwakuwa hawana democrasia chadomo wanapenda promo kama watoto ndiyo maana mbowe anawapiga hela sana kila siku michango