Sio kuwa sijui. Najua sana.
Hoja yangu mnafanya hayo ili mpate nini? Unajua matokeo ya hicho watakachofanya?
Sawa basi mkataeni aondoleweSbb balozi wa Marekani anaingilia siasa za ndani ya nchi ya Tanzania, umeelewa?
Ndio maana nasema Polisi watumie busara badala ya nguvu, huyo ni Askari polisi wa Usalama barabaraniImekuaje tena?
Kuna mabumunda kama hawa ChoiceVariable na mama yao wanajifanya kuwadindia jamaa wa magharibu wakati uwezo wa kujitegemea hawana....sisemi ni kitu kizuri kuwategemea wahisani ila ni sera mbovu za CCM ndiyo zilizotufikisha hapaJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
hasira unazo wewe unaelialia ati sijui ulitoa msaada kiasi gani sasa sijui ili iweje?🤣Braza huu mchezo hauhitaji hasira. Tuombe tu kikao tuwaite ikulu tuweke mambo sawa. Haitupunguzii chochote.
Leo anabutubia jeshi na taifa.Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Sawa basi mkataeni aondolewe
sasa hiyo,kwamba wao ndio wanaleta hizo hela au nyie ndio mnaomba? Nani namwomba mwenzake? Na nani anazitoa?
Uwezo wa kuingilia mambo ya ndani wanao, si uwezo tu wa kuingilia hata kupindua serikali na kuweka wamaowataka. Hii unahitaji mifano??Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .
Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
another powerful speech by head of the state to the Nation and the entire world 🌍 is loading 🐒Leo anabutubia jeshi na taifa.
Episode nyingine in making
Saa ngapi?Leo anabutubia jeshi na taifa.
Episode nyingine in making
Sasa watu wenyewe wanaangalia nguvu sio elimu unategemea nini?Ndio maana nasema Polisi watumie busara badala ya nguvu, huyo ni Askari polisi wa Usalama barabarani
another powerful speech by head of the state to the Nation and the entire world 🌍 is loading 🐒
Akiwa wapi? UN kagoma kwendaLeo anabutubia jeshi na taifa.
Episode nyingine in making
Basi vijana wasio na hatia wataendelea kutolewa ngeuSasa watu wenyewe wanaangalia nguvu sio elimu unategemea nini?
relax gentleman, mihemko na ghadhabu sio muhimu sana kwenye mambo muhimu na mazito kama haya kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒Nilijua una akili kumbe ni chizi. Basi tuishie hapa
Bosi au tajiri hafokewiJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Yaan sio mchezoBasi vijana wasio na hatia wataendelea kutolewa ngeu
sema unajiandaa kuilazimsaha furaha ingawa moyoni una majonzi na hakuna wa kukufuta Machozi 🤣Anahutubia saa ngapi nijiandae kucheka🤣🤣🤣