Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Balozi wa Marekani: Kwa Miaka 3 Marekani imetoa msaada Tanzania Dola Bilioni 7.5 sawa na Trilioni 25 za Tanzania. Sio Mkopo ni Msaada tu

Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣
Kuna mabumunda kama hawa ChoiceVariable na mama yao wanajifanya kuwadindia jamaa wa magharibu wakati uwezo wa kujitegemea hawana....sisemi ni kitu kizuri kuwategemea wahisani ila ni sera mbovu za CCM ndiyo zilizotufikisha hapa
 
Braza huu mchezo hauhitaji hasira. Tuombe tu kikao tuwaite ikulu tuweke mambo sawa. Haitupunguzii chochote.
hasira unazo wewe unaelialia ati sijui ulitoa msaada kiasi gani sasa sijui ili iweje?🤣

kwamba eti hiyo ndiyo excuse tusikukemee ukitaka kuingia chumbani kwetu ambako hustahili..
hiyo haiwezekani bana...

kwani,
kwasabb ya uhasama wa US na hao akina Osama bin laden watu wetu wa ngapi walikufa, wakati na kama Taifa, wala hatukua na maslahi yoyote na ile vita yao?

kwamba huo msaada ni muhimu zaidi ya maisha ya waTanzania wasio na hatia waliopoteza maisha yao na wengine mpaka leo ni walemavu kwasabb ya uhasama wao?

na wala kama Taifa wala hatunung"uniki, ni ungwana wa namna gani huo hebu tafakuri?🐒
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Leo anabutubia jeshi na taifa.

Episode nyingine in making
 
Mbona Magufuli alikuwa anasema kutwa , hakuna lolote msaada sio lazima ...Wangeacha tungeishi maana hata pesa wanaprint wao ....Hatuwezi kufa njaa ng'o hizo pesa wanakula wachache .

Ukweli ni kwamba hwana ubavu wa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yoyote hatutaki machafuko ....Afrika inaweza kuwepo bila ya hao , wanaimarisha uhusiano tu ...Huko kwao kuna homeless si wafute umaskini usome zero .! watu ambao wanafadhili mpaka vita ili wengine wauawe.
Uwezo wa kuingilia mambo ya ndani wanao, si uwezo tu wa kuingilia hata kupindua serikali na kuweka wamaowataka. Hii unahitaji mifano??
 
Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.

Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania

Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Bosi au tajiri hafokewi
 
Back
Top Bottom