Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri hawajaombwa shobo zao wenyewe hawajui hii nchi ndo wataalam wa kula na kipofu ,,hela zao walete tu ila ushenzi wao wakae nao wenyewe........visenti vyenu sio mlango wa kuanza kuingilia mambo ya ndani ya nchi za watuJana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
CHINA wanajua sis vinyonga basi wanatupa kidogo kidogo ili tusiache kugonga milango yaoLabda China inampa jeuri!
God Bless Tanganyika.
Ni hatari aisee, hela zote zinaenda kwenye mifuko ya watu 🙌Huenda kamba zimeongezeka .
Anakukumbusha kwamba your country is one of the shithole countries, na kwamba unaongozwa na shithole leader.So What?
Mimi mwenyeji wa Ngara Kagera lakini sina hulka za kibaguzi. Kwanini vitambulisho vya kununua ardhi vionekane muhimu wakati wa awamu inayoongozwa na Samia mwenyeji wa Kizimkazi?.Wewe ndiyo mjinga, wabaguzi ni nyie wazenji, kwanini hamtaki sisi tupate vitambulisho vya mkazi, tununue ardhi na kugombea nafasi za kisiasa kama nyie huku? jibu tafadhali
Mmarekani ni mwema na ni mshenzi kwa wakati huo huo. Huko Ukraine Putin anafanya unyama huu ni mwaka wa pili na huwezi kumsikia Mmarekani akifungua mdomo wake.Sikubaliani na wewe na hata huo mfano wa upotoshaji unaomtwisha Mwalimu Nyerere. Sasa hivi mnatumia hivi visingizio kuhalalisha maovu mnayo wafanyia waTanzania.
So what? Yaani wanatupa hiyo so called misaada ili watutawale na kutufanya mashoga? Kwanza hiyo hela is just a small portion ya thamani ya asilimali yetu wanayoendelea kuichota.Jana katika Mkutano wa Kituo cha Demokrasia Balozi wa Marekani kamjibu yule aliyewatishia. Kasema Vitendo vya Ukatili, Utekaji na Mauaji havikubaliwi na Demokrasia yeyote. Si Marekani si Tanzania.
Ameenda mbali kwa kusema kwa miaka mitatu tu Marekani imetoa msaada kwa Tanzania wa dola bilioni 7.5 na hizi sio mkopo ni msaada tu! Kwa msio jua hizi ni karibu na trilion 25 za Kitanzania
Kazi kwenu wananzengo. Mie naongeza popcorn.🤣🤣🤣View attachment 3100891
Mimi siwezi kumtetea chochote yeyote nje ya Tanzania. Kila nchi ina mipango yake na maslahi yake.Mmarekani ni mwema na ni mshenzi kwa wakati huo huo. Huko Ukraine Putin anafanya unyama huu ni mwaka wa pili na huwezi kumsikia Mmarekani akifungua mdomo wake.
Anadhani wale kina Ruto na MuseveniAlafu kuna mtu anajitutumua eti "ntaongea na marais wenzangu", how naive is that?
Labda ni hakina Rais Hersi, Rais Karia, Rais MO, 😉😉😉Alafu kuna mtu anajitutumua eti "ntaongea na marais wenzangu", how naive is that?
Dada chutama tumsaidie Bi. mkubwa.Kwani nani alisema vinakubaliwa?
Kiswahili kinawapiga chenga au mmezoweshwa kuanzia wadogo?
Huyu ni shetani kabisaTena katika wapuuzi wanaoongoza humu huyo anaongoza