Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini anatarajia kukutana na wagombea Urais wote

Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani nchini anatarajia kukutana na wagombea Urais wote

Hapo natarajia vyama viwili ama vitatu tu ndo vitamwagashombo, ila vilivyobaki vyote vitamwaga sifa na utukufu kwa nchi yetu pendwa.
 
tulio okoka matusi ni baraka ..

English ya darasani na english ya kuongea nj tofauti... mliosoma ngwini na tuliosoma sayansi tuna uwezo tofauti ya uongeaji english.

Viva Magu 2020 to 2030
Ile phd yake ali defend kwa kiswahili? tulia shaft izame
 
Kwani balozi wa Tanzania huko marekani anaonana na wagombea wa urais huko, kwanini kwenye chaguzi za kule hakuna wawakilishi kutoka Afrika
 
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Na akili
 
I enjoyed talking with NCCR-Mageuzi’s James Mbatia and hearing his insights gained from 30 years in Tanzanian politics. I hope to meet with candidates and leaders from ALL PARTIES to share America's interest in a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process.


Daah! Kakutana na Yuda Iskariote??
Atasema yeye anaridhishwa na mwenendo wa tume huyo bwege.
 
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Hehee mtakoma mwaka huu.
 
Back
Top Bottom