Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu tujue kuwa kuna tofauti kati ya kuwepo kwa virusi vya corona na kuwepo kwa wagonjwa wa corona.Stupid CCM member huoni wanavyosalimiana ili wasiambukizane Covid-19 ambayo bado ipo kwa wingi maana ule mtishamba wa Magufuli toka Madagascar haukufua dafu?
Kwani Mbatia alikwenda kumpigia muziki wa kisiasa ambao Balozi ali enjoy??--- kama ni mazungumzo positive basi huyo Mbatia atupe muhtasari.
Trial and errorStupid mpinzani. Huoni hatujaenda lockdown pamoja na vitisho vyote vya mabeberu. Hilo igizo tu la salamu, balozi angekua anaogopa kuambukizwa corona angevaa mask na kukaa mita nyingi mbali na mbatia
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Viva Magufuli. Watu tulipiga nyungu kabla hata ya hio dawa ya Madagascar.
Corona haipo Tanzania
Hiyo suit yake ni ya hali ya juu sana mtumba toka Marekani Viwanda 4000 vya cherehani 4 vya Mwijage vilipotea na Mwijage mwenyewe baada ya kutumbuliwa. Asingetumbuliwa wimbo wa Viwanda ingekuwa bado upo!Balozi Haiti watu kwenda wanajipeleka wenyewe mtu hajaitwa anaenda kubwabwaja na kisuti chake cha mtumba
Asiende kwani yeye ni mbuzi?Dkt Magufuli asiende kwa huyu beberu, wanaweza muwekea sumu, maana hamu yao ni kuona nchi inakuwa loose ili waibe. Yaani asiende kabisa labda huyu beberu akaribishwe ikulu pahala penye usalama tunaouamini
Its one of their foreign policy kila nchi kwenye yenye uchaguzi wanafanya hivo...shida yako your not exposed upo kienyeji mnoAonane na wagombea wote!!! Who is he in this country!?
For which reason by the way!?
Tuache siasa za kitumwa.
Umeona bilioni 44 za kulisha Kaya masikini kutoka kwa MABEBERU?Aonane na wagombea wote!!! Who is he in this country!?
For which reason by the way!?
Tuache siasa za kitumwa.
Hao unaowabeza jiwe anawapigia magotiHow can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Maskini hana jeuri mbwa weweHii inastajaabisha kweli kweli, yeye ni nani hadi awe na mamlaka ya kuingilia masuala ya kisiasa nchini kwetu? Basi na sisi balozi wetu kule Marekani afanye mpango wa kukutana na wagombea urais wote wa marekani.
Aonane na wagombea wote!!! Who is he in this country!?
For which reason by the way!?
Tuache siasa za kitumwa.
How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.
Uchaguzi wao, wewe una kwenda kama nani?Uchaguzi wetu ni uchaguzi wao na uchaguzi wao ni uchaguzi wetu.
Have you ever forgotten the head prefect syndrome? That is where we are. And truly speaking, there must be head prefect somewhere as to bring in the so called,balance of terror.How can I be positive on this matter!?
Who is Balozi wa Marekani in this country.
Yeye yupo hapa kwaajili ya kuwakilisha nchi yake.
USA is not our master. Wanatuzidi uchumi tu.